CCM: Ulinzi Dhidi ya Ubepari na Ruzuku ya Umeme

CCM: Ulinzi Dhidi ya Ubepari na Ruzuku ya Umeme

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
591
Reaction score
546
Ndugu zangu,

Serikali ya CCM imejenga uhalali wake kwa watanzania kwa kuwakinga dhidi ya makali ya ubepari.

Wakati tunaenda World Bank kuomba hela ya Bwawa la Nyerere, tulipewa masharti ya kuhakikisha bei ya umeme ina reflect gharama zote za ujenzi, uendeshaji na faida.

Tukasubiri tuwe na fiscal space ya Trillion 7 kupitia kodi zenu kujenga mradi ambao basically ni ruzuku kubwa ya umeme sababu tunalipa kama nusu ya bei halisi.

Kesho tutakuwa na nafasi ya kipekee kuikumbusha dunia kuwa tunalinda uhuru wetu sio kwa slogan ila maamuzi
IMG-20260820-WA0018.jpg
magumu.
 
Marcostilone mcTobby kwanini waafrika ni watu wanaopenda na ku-treat wenzao na mambo ya kufikirika sana even though katika dunia hii mpya ya ukweli na uwazi ambao hautafutwi ila kujidhillisha wenyewe kupitia teknolojia?
 
Marcostilone mcTobby kwanini waafrika ni watu wanaopenda na ku-treat wenzao na mambo ya kufikirika sana even though katika dunia hii mpya ya ukweli na uwazi ambao hautafutwi ila kujidhillisha wenyewe kupitia teknolojia?
Kaka hili suala ukiliangalia kwa ukaribu, tamaduni zetu zimejengwa kwenye mythology na imani tangu zamani. Hatuna taasisi imara za kijamii au mifumo ya kiuchumi inayomlinda mtu mmoja mmoja. Sasa, ni nini kinachotuunganisha? Ni mambo ya kufikirika! Imani za ushirikina, dini, na hadithi za kubuni ndizo zinazofanya jamii isisambaratike.

Tukiamua kuishi kwa ukweli na uwazi kwenye hii dunia lazima tulazimike kukubali kuwa mifumo yetu imefeli, na hapo ndipo machafuko yatakapoanzia, kifupi kaka tunakumbatia ya kufikirika to preserve our collective ego tu.
 
Kaka hili suala ukiliangalia kwa ukaribu, tamaduni zetu zimejengwa kwenye mythology na imani tangu zamani. Hatuna taasisi imara za kijamii au mifumo ya kiuchumi inayomlinda mtu mmoja mmoja. Sasa, ni nini kinachotuunganisha? Ni mambo ya kufikirika! Imani za ushirikina, dini, na hadithi za kubuni ndizo zinazofanya jamii isisambaratike.

Tukiamua kuishi kwa ukweli na uwazi kwenye hii dunia lazima tulazimike kukubali kuwa mifumo yetu imefeli, na hapo ndipo machafuko yatakapoanzia, kifupi kaka tunakumbatia ya kufikirika to preserve our collective ego tu.
Inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom