Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Huu mradi wa uzalishaji umeme wa julius nyerere ambao ni mkubwa kuliko mradi wowote africa mashariki hatuuoni kabisa umhimu wake sisi kama watanganyika. Magufuli alisema kabisa mradi ukikamilika...
11 Reactions
39 Replies
588 Views
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua kubwa zilizopigwa katika kuboresha afya, lishe, elimu na ustawi wa watoto, na...
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Litania ya Bikira Maria (Litania ya Loreto) Bwana utuhurumie. – Bwana utuhurumie. Kristo utuhurumie. – Kristo utuhurumie. Bwana utuhurumie. – Bwana utuhurumie. Kristo utusikie. – Kristo...
13 Reactions
73 Replies
440 Views
Taasisi za Serikali, mnapoweka mabanda kwenye maonesho kama Sabasaba na NaneNane, tafadhali hakikisheni mnaweka pia watu wanaoelewa vizuri taasisi na sekta mnayoonesha. Hivi juzi nimepata fursa...
10 Reactions
23 Replies
256 Views
😀😀😀 Huyu mtangazaji atafutiwe vipindi vinavyomfaa, atakuja kufia kwenye mic. Apewe kipindi cha taarabu
3 Reactions
3 Replies
111 Views
Copper Mines For Sale 📍Location - Kitati, Mpwapwa, Dodoma ✅Laboratory Result is Coming from 1.2% To 3.7% and mined around 2000 Tons open Pit. ✅Vein Report is 18.5% ✅Full Documents with CSR...
1 Reactions
1 Replies
30 Views
Wengi wao hawana akili hata kidogo, wanafikiri matako yao ndio kila kitu kumbe kuna cha zaidi kushinda makalio Na dzain ya wengi wenye makalio ni kama wanajitegesha hivi kama wapo kazini kwa...
2 Reactions
18 Replies
221 Views
Kuna wakati maisha yanakupeleka sehemu mpaka unatamani usingezaliwa kwenye hiyo familia uliyopo. Au unajikuta unajuta kuishi, imefikia hatua mpaka mtu unatamani kujiua tu ili uepukane na madhila...
40 Reactions
219 Replies
2K Views
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unafikia hatua ya kupiga simu na kutuma meseji za kuombaomba michango ya sherehe ya harusi yako? Unajikuta ghafula umeungwa kwenye group la harusi, humo bwana harusi...
30 Reactions
94 Replies
2K Views
Had God a plan for the universe before he created it? Did he see in his plan the fate of mankind that they will rebel against his laws, and in his planning he constructed a place/state of...
1 Reactions
5 Replies
37 Views
Anonymous
Hapa ni Dodoma eneo la Miganga East, Kata ya Mkonze, hivi Serikali imetusahau sana! Hakuna barabara hata maji nyumba zilizo nyingi hazina kabisa! Imefika sehem wananchi tunaanza tunaambiwa Bomba...
2 Reactions
4 Replies
48 Views
Kuna mwanasheria mmoja aliwahi kuniambia kuwa uwapo Mahakamani hasa kwa Kesi zenye Hisia kubwa kama Mtuhumiwa yakupasa uwe makini mno na 'Body Language' yako kwani hii nayo ina nafasi kubwa mno...
4 Reactions
10 Replies
172 Views
Wanasheria naomba elimu kidogo Lissu amewataja ndugu Samia, Philip Mpango, Cassim Majaliwa na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wawe mashahidi wa kesi yake ya uhaini Najiuliza hawa watu...
2 Reactions
8 Replies
176 Views
Habari Wizara ya Ardhi nina mdau wangu alinunua ardhi TAUSI Dodoma jiji yapata mwaka sasa.... Baada ya manunuzi ishu ikahamia kwenye mfumo wa e-ardhi ili kuprocess hatimiliki ya ardhi. Kila...
7 Reactions
1 Replies
115 Views
Na kwa tunaojua vyema Saikolojia tunajua kuwa Wanadamu wote huwa wana Ukomo wao juu ya jambo fulani na kuna muda utafika watachoka na kukuacha peke yako uteseke huku Familia yako sasa ndiyo...
2 Reactions
7 Replies
85 Views
Wanakwepa kodi ya serikali Hongera Albert Msando na Albert Chalamila .....
0 Reactions
0 Replies
30 Views
Mahakama va Hakimu Mkazi Lindi imemhukumu Alli Hamsi Mbelenje (30), mkazi wa Kijiji cha Makonde, Kata ya Mtama, Wilaya ya Lindi, kifungo cha maisha Gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la...
0 Reactions
1 Replies
45 Views
Na ikitupendeza pale tunapokuwa free si vibaya tukiwa tunahudhuria Kesi mbalimbali ziwe ndogo au kubwa katika maeneo yetu ili angalau kuwa na ufahamu wa masuala mazima ya Kisheria. Asanteni sana.
1 Reactions
0 Replies
27 Views
Back
Top Bottom