Huu mradi wa uzalishaji umeme wa julius nyerere ambao ni mkubwa kuliko mradi wowote africa mashariki hatuuoni kabisa umhimu wake sisi kama watanganyika.
Magufuli alisema kabisa mradi ukikamilika...
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa hatua kubwa zilizopigwa katika kuboresha afya, lishe, elimu na ustawi wa watoto, na...
Litania ya Bikira Maria (Litania ya Loreto)
Bwana utuhurumie. – Bwana utuhurumie.
Kristo utuhurumie. – Kristo utuhurumie.
Bwana utuhurumie. – Bwana utuhurumie.
Kristo utusikie. – Kristo...
Taasisi za Serikali, mnapoweka mabanda kwenye maonesho kama Sabasaba na NaneNane, tafadhali hakikisheni mnaweka pia watu wanaoelewa vizuri taasisi na sekta mnayoonesha.
Hivi juzi nimepata fursa...
Copper Mines For Sale
📍Location - Kitati, Mpwapwa, Dodoma
✅Laboratory Result is Coming from 1.2% To 3.7% and mined around 2000 Tons open Pit.
✅Vein Report is 18.5%
✅Full Documents with CSR...
Wengi wao hawana akili hata kidogo, wanafikiri matako yao ndio kila kitu kumbe kuna cha zaidi kushinda makalio
Na dzain ya wengi wenye makalio ni kama wanajitegesha hivi kama wapo kazini kwa...
Kuna wakati maisha yanakupeleka sehemu mpaka unatamani usingezaliwa kwenye hiyo familia uliyopo.
Au unajikuta unajuta kuishi, imefikia hatua mpaka mtu unatamani kujiua tu ili uepukane na madhila...
Hivi inakuwaje mwanaume mzima unafikia hatua ya kupiga simu na kutuma meseji za kuombaomba michango ya sherehe ya harusi yako?
Unajikuta ghafula umeungwa kwenye group la harusi, humo bwana harusi...
Had God a plan for the universe before he created it? Did he see in his plan the fate of mankind that they will rebel against his laws, and in his planning he constructed a place/state of...
Hapa ni Dodoma eneo la Miganga East, Kata ya Mkonze, hivi Serikali imetusahau sana! Hakuna barabara hata maji nyumba zilizo nyingi hazina kabisa! Imefika sehem wananchi tunaanza tunaambiwa Bomba...
Kuna mwanasheria mmoja aliwahi kuniambia kuwa uwapo Mahakamani hasa kwa Kesi zenye Hisia kubwa kama Mtuhumiwa yakupasa uwe makini mno na 'Body Language' yako kwani hii nayo ina nafasi kubwa mno...
Wanasheria naomba elimu kidogo
Lissu amewataja ndugu Samia, Philip Mpango, Cassim Majaliwa na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wawe mashahidi wa kesi yake ya uhaini
Najiuliza hawa watu...
Habari Wizara ya Ardhi nina mdau wangu alinunua ardhi TAUSI Dodoma jiji yapata mwaka sasa....
Baada ya manunuzi ishu ikahamia kwenye mfumo wa e-ardhi ili kuprocess hatimiliki ya ardhi.
Kila...
Na kwa tunaojua vyema Saikolojia tunajua kuwa Wanadamu wote huwa wana Ukomo wao juu ya jambo fulani na kuna muda utafika watachoka na kukuacha peke yako uteseke huku Familia yako sasa ndiyo...
Mahakama va Hakimu Mkazi Lindi imemhukumu Alli Hamsi Mbelenje (30), mkazi wa Kijiji cha Makonde, Kata ya Mtama, Wilaya ya Lindi, kifungo cha maisha Gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kosa la...
Na ikitupendeza pale tunapokuwa free si vibaya tukiwa tunahudhuria Kesi mbalimbali ziwe ndogo au kubwa katika maeneo yetu ili angalau kuwa na ufahamu wa masuala mazima ya Kisheria.
Asanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.