Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kabla sija anza kutoa unabii wangu najua WaPo watu watakao kuja na hoja kwamba Shillah hana vigezo Kwa kuitwa Nabii and blah blah blah . Kama ulikuwa kwenye kundi la watu wanao fikiri kwamba...
4 Reactions
131 Replies
12K Views
Habari zilizo tikisa dunia ya kandanda ni kitendo cha Ronaldinho gaucho, kurekea UWANJANI kuichezea Ravenna fc ya italia serie c. Akizungumza mwenyekiti wa klabu hiyo kaongeza kua Ronaldinho...
2 Reactions
8 Replies
77 Views
I hope mko poa wakuu. Hivi ni hili kanisa letu au yote ya kilokole michango ni mingi yaani hawaangalii unaingiza sh ngapi ni michango tu ata ukitoa ulichonacho unaambiwa ni kidogo mara sijui...
1 Reactions
2 Replies
48 Views
Anaandika Malisa GJ Kuna wakati niliwahi kuandika hapa kuwa real estate ya bongo ni pasua kichwa, nikacompare bei ya nyumba Atlanta GA, zikazidiwa bei na baadhi ya nyumba za Dar. Yani ni Futuhi...
3 Reactions
9 Replies
113 Views
Muwe na weekend njema wakuu. Msikatae asili zenu, kwanini nijifanye taita humu JF kama wengine? Mdada yoyote karibu kwa zena kuanzia saa kumi ,haijalishi una makebo makubwa au lah, karibu...
4 Reactions
11 Replies
100 Views
Wakuu.... Uhai wa binadamu unaanza wakati gani, akiwa tumboni. Na unakaa sehemu gani ya mwili baada ya kuanza! Cc. Mshana Jr Jagina and others
5 Reactions
98 Replies
534 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori Tanzania (TATOA), Elius Lukumay amesema wanapinga kamata kamata ya malori inayoendelea, na kwamba wako tayari kupaki malori kama hali hiyo itaendelea...
2 Reactions
6 Replies
96 Views
ENEO HOT CAKE SANA LINAUZWA LIPO DSM VICTORIA UKUBWA WA ENEO NI EKA 1 AU SQFT 48,500 NI PLOT YA 3 KUTOKA BAGAMOYO RD FULL DOCUMENTS BEI NI USD $6m 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717...
0 Reactions
1 Replies
28 Views
Kitabu kitakachoongoza imani hii kitakua na page takribani 600. Utofauti wa dini hii na hizo nyingine ambazo ni biashara za watu, hii haitakua biashara, hii itakua ni dini ya kumuabudu Mungu wa...
2 Reactions
46 Replies
800 Views
Watanzania wenzangu mbona hamna furaha? Mradi mkubwa kama huu mmeamua kuupotezea?. Sioni zile bashasha za furaha kama kipindi cha JPM, miradi mikubwa ambayo jpm aliizindua ilipokelewa vilivyo na...
2 Reactions
8 Replies
95 Views
Wakati Madame President, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaingia ikulu alikuta mtangulizi wake Hayati John Pombe Magufuli akiwa kapiga hatua nzuri ila nchi ilikuwa na mzigo wa kuhudumia project...
2 Reactions
6 Replies
148 Views
Hao watu hawapo ofisini na wametajwa kwa majina yao na sio ofisi zao na mbaya zaidi nafasi zao tayar zipo na watu wengine ( VIFUNGU VINASEMAJE UKO?)
0 Reactions
1 Replies
22 Views
1. Sea salt inakuwa imetokana na kuvukisha maji ya bahari wakati ile ya mawe inachimbwa kutoka miamba inayodhaniwa kuwa ilitokea baada ya habari au maziwa ya zamani kukauka 2. Chumvi ya bahari...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifanya biashara na udalali kwa shida sana hadi siku nimeanza kutumia chumvi ya mawe sisemi ni dawa ila imani huponya CHUMVI imesaidia kunipa kipato cha 200k kwa week i Imenisaidia...
76 Reactions
266 Replies
26K Views
Kama kawaida yetu, tunaangaza afya ya Tezidume… hii mpya ya leo Uvimbe wa saratani ya tezidume unaweza kubadilisha mfumo wa kemikali wa asidi ya amino (amino acid metabolism) ili kuondoa vizuizi...
1 Reactions
2 Replies
47 Views
Ukiangalia picha za Chengdu, unaweza kudhani kinachoifanya iwe modern ni skyscrapers na majengo yake marefu pekee. Lakini modernity ya Chengdu iko zaidi kwenye mfumo wa jiji kuliko majengo...
7 Reactions
22 Replies
255 Views
1.kumbe kunatofauti kati ya ujasusi na upelelezi 2.Unaweza kumgeza mshtaki wako kua shahi wako ila unatakiwa uwe mtaalam wa vifungu 3.Shahidi usipotii wito wa mahakama unatakiwa kukamatwa
5 Reactions
17 Replies
305 Views
Back
Top Bottom