Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

There shall not be a genuine reconciliation if personal gain exceeds national interest. The leading part must prove beyond reasonable doubt the good will of having reconciliation and under all...
1 Reactions
1 Replies
14 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22...
1 Reactions
12 Replies
299 Views
SIRI YA MACHO YAKO AMBAYO HAKUNA ALIYEWAHI KUKUAMBIA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Haya nayo nikasema nisikufiche. Kwa sababu ninakupenda Sana. Nataka uwe kiumbe huru. Hii ikiwa ni zawadi...
9 Reactions
18 Replies
970 Views
Walichonifanyia eniembii kinatosha. Nilifungua account lao mwaka Jana November, nikawa naweka tu elfu mbili tatu kama saving, simalizi wiki, nanyofoa pesa zangu, mambo mengine yanaendelea Mwezi...
19 Reactions
45 Replies
2K Views
Happy .....Sabbath.....!!! "Nilifanya agano na macho yangu, basi nawezaje kumwangalia msichana?" Ayubu 31:1. Usifunue macho yako, kwenye jambo lolote linalokufanya utamani... Nimemaliza.
2 Reactions
2 Replies
116 Views
Mgogoro kati ya Tanzania Assemblies of God (TAG) na Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) ulianza mwaka 1991 kufuatia mfarakano wa kiuongozi na kikatiba kati ya viongozi wakuu, ambapo...
1 Reactions
6 Replies
200 Views
Hoteli inauzwa White Sand Road 60 Rooms all en suite 2 Conference Halls Swimming pools 2 Big Restaurant Standby Generator Has more than 60 Employees Plot size: SQM 16,000 Document: Title Deed...
2 Reactions
1 Replies
89 Views
Habari Wakuu, Nategemea kuwepo Mtwara mjini kwa wiki mbili kikazi. Naomba kujua lodge nzuri na safi hasa zenye internet kwa 30,000 - 40,000. Asanteni.
4 Reactions
76 Replies
1K Views
Kumekuwa na changamoto kubwa upande wa Azam Pesa pale mteja anapokosea muamala. Wanachukua muda mrefu sana kurejesha fedha. Ukiwapigia simu, unaweza kuambiwa: Leo ni weekend, hatufanyi kazi...
1 Reactions
5 Replies
41 Views
Wanabodi, Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。 Sio mara moja au mbili, umewahi kusikia mtu akitendewa jambo baya...
77 Reactions
254 Replies
64K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewakosoa wanaodai kuwa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) ni “white elephant” na kwamba hauna...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
All in all i wont stop to proud you, You’re good and best wife material We being without drama for a long time and our relation will be unbroken. Always I’ll never stop loving you...
5 Reactions
12 Replies
102 Views
Kabla sija anza kutoa unabii wangu najua WaPo watu watakao kuja na hoja kwamba Shillah hana vigezo Kwa kuitwa Nabii and blah blah blah . Kama ulikuwa kwenye kundi la watu wanao fikiri kwamba...
4 Reactions
131 Replies
12K Views
Habari zilizo tikisa dunia ya kandanda ni kitendo cha Ronaldinho gaucho, kurekea UWANJANI kuichezea Ravenna fc ya italia serie c. Akizungumza mwenyekiti wa klabu hiyo kaongeza kua Ronaldinho...
2 Reactions
8 Replies
78 Views
I hope mko poa wakuu. Hivi ni hili kanisa letu au yote ya kilokole michango ni mingi yaani hawaangalii unaingiza sh ngapi ni michango tu ata ukitoa ulichonacho unaambiwa ni kidogo mara sijui...
1 Reactions
2 Replies
49 Views
Anaandika Malisa GJ Kuna wakati niliwahi kuandika hapa kuwa real estate ya bongo ni pasua kichwa, nikacompare bei ya nyumba Atlanta GA, zikazidiwa bei na baadhi ya nyumba za Dar. Yani ni Futuhi...
3 Reactions
9 Replies
113 Views
Muwe na weekend njema wakuu. Msikatae asili zenu, kwanini nijifanye taita humu JF kama wengine? Mdada yoyote karibu kwa zena kuanzia saa kumi ,haijalishi una makebo makubwa au lah, karibu...
4 Reactions
11 Replies
100 Views
Back
Top Bottom