Binafsi ninapenda sana kunyoa kipara

Binafsi ninapenda sana kunyoa kipara

SIR MGAX

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2023
Posts
1,344
Reaction score
2,304
Heshima yenu wana JF

Binafsi ninapenda sana kunyoa kipara,lakini changamoto kubwa ambayo huwa ninaipata japo si mara kwa mara ni maumivu na kuota kwa vipele upande wa kwenye kisogo.

Je ni nini chanzo cha tatizo na ni njia gani ya kutatua tatizo hilo?
 
Saluni nyingi ni chafu hawana muda wa kusafisha machine kwa kila mteja
Kama ni kipara mbona ni rahisi kujinyoa mwenyewe na vioo viwili.....
Huwa ninanyoa kwa kiwembe lakini siwezi kujinyoa mwenyewe nipe mbinu mkuu.
 
Mkuu umeskia deni la taifa limefikia trillions ngapi huko...🤔
 
Ukinyoa hakikisha kiwembe kinafata jinsi nywele zilivyolala kuanzia juu kushuka chini..
Na kama kisogoni nywele zako zimezunguka hakikisha kiwembe kifate nywele kadiri zilivyo kwenye mzunguko juu shuka chini.

Hutoona vipele hata siku Moja.
 
Back
Top Bottom