SIR MGAX
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 1,344
- 2,304
Heshima yenu wana JF
Binafsi ninapenda sana kunyoa kipara,lakini changamoto kubwa ambayo huwa ninaipata japo si mara kwa mara ni maumivu na kuota kwa vipele upande wa kwenye kisogo.
Je ni nini chanzo cha tatizo na ni njia gani ya kutatua tatizo hilo?
Binafsi ninapenda sana kunyoa kipara,lakini changamoto kubwa ambayo huwa ninaipata japo si mara kwa mara ni maumivu na kuota kwa vipele upande wa kwenye kisogo.
Je ni nini chanzo cha tatizo na ni njia gani ya kutatua tatizo hilo?