Mugabe: if I lose the poll, we will wage war
Thousands flee rural areas as regime steps up intimidation of voters before presidential run-off
Tracy McVeigh and Alex Duval Smith,
Cape Town...
Mhe.Chrissant Mzindakaya anadaiwa kupewa mkopo na Sirikali Kuu kiasi cha Sh.Bilioni 9 ilhali mkulima wa hali ya chini ametengewa kiasi cha Sh. Bilioni 1.4 kama ruzuku ya mifugo.
Umaskini...
Mhe.Chrissant Mzindakaya alipewa mkopo wa Shillingi Bilioni Tisa (9) Ilhali wakulima wametengewa Sh 1.4 Bilioni kwa ajili ya ruzuku ya mifugo.
Jamani umaskini utaisha kweli?
JF ni mtambo wa kurekebisha tabia za watu mbali mbali wakiwemo viongozi, watu maarufu, mashirika n.k.
Katika fursa hii pia ningependa kuelezea yaliyonisibu jana wakati nikiwa na marafiki zangu...
Robert Mugabe kiongozi aliyetawala Zimbabwe kwa miaka 28 sasa amesisitiza kuwa hayupo tayari kushindwa katika ngwe ya marudio ya uchaguzi wa rais nchini humo utakaofanyika mwezi ujao.
Kauli...
New York, June 16, 2008
The Committee to Protect Journalists is outraged by the police beating of Emin Huseynov, head of the Institute for Reporters Freedom and Safety (IRFS), in Baku...
Oil at record near $140 a barrel
BBC News Online
There have been calls for increased global oil output
The price of crude oil has hit a new high of close to $140 a barrel in New York...
Mwanamke katika jamii amekuwa akionekana ni last class katika kila akitu !
ELIMU :Asilimia kubwa ya wanawake hawapatiwi elimu,na hata wakiwa shuleni wengi hawafanikiwi katika elimu,pia katika...
Naomba msaada,
Kila mara nasikia wanaharakati wa watoto wanadai haki za hao watoto. Wanatumia hela nyingi sana za wafadhili kuzitetea.
Mimi nilivyolelewa nilifundishwa wajibu wangu kwangu, kwa...
Hizi habari kutoka Australia zinashitua kinamna yake! Nyoka alimuuma jamaa aliyekuwa anajisitili porini. Sasa sijui nyoka huyo alifikiri nini kichwani mwake...duuh, ni bora tu hata angemng'ata...
Bush arrives in UK amid huge security operation
Matthew Weaver and agencies guardian.co.uk,
Sunday June 15 2008
George Bush arrived in the UK today for his last presidential visit to the...
Ndugu wasomaji,
Naomba mawaidha yenu katika maswala yafuatayo bila kujali kama yamekukuta, yamekuhusisha au laa:
--Kama wewe ni Mwanausalama, unajisikiaje pale ulipo amua kumpiga mtu risasi na...
Rezko says prosecutors pressured him to implicate Obama
Daniel Nasaw in Washington guardian.co.uk,
Friday June 13 2008
Tony Rezko, the Chicago political money man and early supporter of...
Tanzania's annual inflation dipped to 9.1 percent in May from 9.7 percent in April due to a slight decrease in food prices, the National Bureau of Statistics said on Friday.
Food has a weight of...
Wana Jf hawa majaji wanaoapishwa kila leo wa kweli au?Gazeti moja maarufu nchini lilisema jana hawa majaji mbona wengi wanatokea sehemu moja ya nchi?
Eti ndio maana yule padri aliyeshtakiwa kwa...
mkutano wa sullivan kumalizika na wachambuzi wanachambua kama mkutano huo umekuwa wa mafanikio kwa watanzania au ndio watanzania
tumeuziwa mbuzi kwenye gunia. leo katika pita pita yangu...
Fidia kwa wanaozunguka Buzwagi kupitiwa upya
Halima Mlacha, Dodoma
Daily News; Friday,June 13, 2008 @00:05
WIZARA ya Nishati na Madini inatarajia kupitia upya kwa kushirikiana na wadau...