KUFICHULIWA kwa mpango wa wabunge wa Tanzania kujiongezea mishahara na posho, kumeleta zogo kubwa. Mpango huo ukifanikiwa, mshahara wa mbunge kwa mwezi utafikia Sh. 12 milioni.
Malipo hayo ni...
kwa tahadhari kubwa naomba niandike haya, ukiwa ni mtazamo wangu na si lazima kwa mchangiaji yeyote wa JF akubaliane na mtazamo huu. katika kundi la wabunge wanaambatana na Mengi kwenye mikutano...
Japo tuna endeshwa na mafisadi, serikali mbovu, miundombinu mibovu na kadhalika lakini tuna mengi ya kuji vunua juu ya Tanzania. Je ni nini una jivunia kuhusu Tanzania? Maana hizi story za ufisadi...
As I was surfing a few moments ago, I bumped into this catchy quote: "If the president is immune to most easy attacks from the opposition, it [the opposition] needs to find someone who isn't."...
Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya US Doctors for Africa imemtunikia tuzo ya heshima rais JK kwa juhudi zake madhubuti za kupambana na umasikini na jitihada zake katika kuhakikisha kila mwananchi...
mheshimiwa henzron mwankenja wa mahakama ya kisutu amemtia hatiani mheshimiwa mwenzake nzota kwa kesi ya kudai na kupokea rushwa. Waliopo kisutu waende kazini kwa picha na habari zaidi.
Kazi ni...
kuna mwanachadema kakutana na kipigo cha makomandoo wa ccm, 'janjaweed' na kaumia mbavu, kapelekwa kituo cha polisi kwa pf3 wakakataa kumpokea, mpaka kesho yake, sasa nashindwa kuelewa nini mbaya...
Ndugu mwana jamii forum soma kipande hiki toka gazetini
Kihusucho utumwa hiari.
Je tufanyeje nini kwa vijana wetu ili waepuke aina hii ya utumwa?
From RAIA MWEMA 18/02/2009
UTUMWA WA...
Kikwete na huku nako umefuata nini nasikia umekutana na mcheza Filamu wa Marekani Steven Seagal hivi kweli watanzania wanaitaji hili umepita kwenye makampuni ya computer IBM na google hivi unajua...
Mother gives birth to twins with different dads
One-in-a-million occurrence involves two eggs and two different fathers
Video
Mother has twins with two fathers
May 21: NBCs Janet Shamlian...
kuna mwana chadema mmoja kakutanishwa na kipigo cha makomandoo wa ccm, 'janjaweed' kapelekwa kituo cha police wakakataa kumpokea mpaka keshoyake, sasa nachojiuliza nini mbaya na police wetu? mbona...
Wapendwa wana JF.
Ni kweli kwamba wanaume wababe sana kwenye sehemu zao za kazi mfano,walimu kwa wanafunzi wao,bosi kwa wafanyakazi wa chini yake,Viongozi wa siasa kwa wanachama wao na wengine wa...
Swali langu linatokana na sehemu ya mchango wa Mwakyembe katika Bunge kama ilivyo hapo chini
Mheshimiwa Mwakyembe aliwasilisha hoja zake kama hivi:
"Wakili wa Serikali hana usafiri. Yeye na...