What do you love about Tanzania?

What do you love about Tanzania?

MwanaFalsafa1

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
5,564
Reaction score
849
Japo tuna endeshwa na mafisadi, serikali mbovu, miundombinu mibovu na kadhalika lakini tuna mengi ya kuji vunua juu ya Tanzania. Je ni nini una jivunia kuhusu Tanzania? Maana hizi story za ufisadi zime tufanya kwa muda tukazanie mabaya ya Tanzania tuki sahau yale mazuri. Mimi binafsi I love the social life in Tanzania.
 
No particular reason other than it is home, where my heart lies.Nyumbani ni nyumbani.
Sitakuibia hata thumni Tanzania !!
 
Back
Top Bottom