Kuwapunguzia kazi MODS ni vyema kabla hujaanzisha thread ni vyema ukajiridhisha kuwa ni mpya na haijaletwa hapa jamvini..ku-recycle news kama ulivyofanya ni kero. Ustaarabu ni kitu cha bure.
Kuwapunguzia kazi MODS ni vyema kabla hujaanzisha thread ni vyema ukajiridhisha kuwa ni mpya na haijaletwa hapa jamvini..ku-recycle news kama ulivyofanya ni kero. Ustaarabu ni kitu cha bure.
Unajua si mara ya kwanza na notice huyu mwenzetu kurecycle threads. Kuna thread nyingine nili bandika yeye akaja kubadilisha tu jina hahaha. Mara ya kwanza nikasema bahati mbaya but I have seen this poster do it many times & it's become ridiculous & pathetic.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.