The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
kuna mwana chadema mmoja kakutanishwa na kipigo cha makomandoo wa ccm, 'janjaweed' kapelekwa kituo cha police wakakataa kumpokea mpaka keshoyake, sasa nachojiuliza nini mbaya na police wetu? mbona wanaonekana na element za usiasa kinyume na taratibu zao, mbona wanalinda amani kwa kuangalia vyama pinzani vinaharibu wapi, kwani ccm wao hawana vurugu? ndio maana najiuliza Police ni ccm au ccm ni Police? kama ni ndio Democrasia ipo wapi, kama ni hapana basi, justice should not only be done, but manifestly seen to be done.
.............................
UKWELI NI KAMA MAFUA YA NGURUWE UKIONGEA TU UNATENGWA.
.............................
UKWELI NI KAMA MAFUA YA NGURUWE UKIONGEA TU UNATENGWA.