I thank God that I made it ... it is Legum Magister!!
Congrats.
With it, fight hard against UFISADI.
I thank God that I made it ... it is Legum Magister!!
Congrats.
With it, fight hard against UFISADI.
UM, I will mzee!
Napenda kukupongeza sana baada ya kupata clarification ndogo tu hapa:
Umesema umepata Legum Magister.
Ukaambiwa uitumie ku fight ufisadi, ukaahidi haraka kwa uhakika hakika "I will."
Sasa, Shadow, unaweza kumuwakilisha mtu kama Chavda au Chenge na Mkapa na Rostam?
Mkuu Dilunga, I will fight for the good course and well being ya watanzania.
Mkuu Dilunga, I will fight for the good course and well being ya watanzania.
Sawa Mkuu Shadow, rhetoric nzuri, lakini ulichoombwa u respond si hicho, ni hiki:
Umesema umepata Legum Magister, ukaombwa na ukaahidi haraka haraka kuitumia kupigana na ufisadi. Sasa, unaweza kuwatetea mtu kama Chavda na Chenge, au Mkapa na Malegesi yule representative wa Kagoda?
Mkuu Dilunga, Naomba kuuliza, niwatetee katika lipi?
as I said I would rather speak to the people who could not speak for themselves I mean ordinary fellow Tanzanians.Mkapa et al wanao wa kuwatetea na unalijua hilo.
Mkuu Dilunga, Naomba kuuliza, niwatetee katika lipi?
as I said I would rather speak to the people who could not speak for themselves I mean ordinary fellow Tanzanians.Mkapa et al wanao wa kuwatetea na unalijua hilo.
Mzeee naomba nikupe nick name ya "Hammer" yaani unapiga nyundo kwenda mbele. naona unamchanganya msomi kijana wetu hapo na naona kabisaaa ambition yake ya kuwa mwanasiasa hapo baadae.Obfuscations. Na inawezekana unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa na hizi kudos nyingi za kufuzu ujuzi uliotangaza. Unachoulizwa ni kitu straight forward, elimu ya mtaani, si nadharia, si vyeti, a practical matter:
Umesema utatumia Legum Magister kupigana na ufisadi. Je, wakikuomba, na ikatokea ndio medani yako, utetezi wa jinai, unaweza kukubali kuwawakilisha mtu kama Chavda na Chenge mahakamani katika shutuma za ufisadi?
Obfuscations. Na inawezekana unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa na hizi kudos nyingi za kufuzu ujuzi uliotangaza. Unachoulizwa ni kitu straight forward, elimu ya mtaani, si nadharia, si vyeti, a practical matter:
Umesema utatumia Legum Magister kupigana na ufisadi. Je, wakikuomba, na ikatokea ndio medani yako, utetezi wa jinai, unaweza kukubali kuwawakilisha mtu kama Chavda na Chenge mahakamani katika shutuma za ufisadi?
Mr. Dilunga, naomba kujibu swali lako hivi:
mosi, kulingana na sheria za nchi(Tanzania) kila mtu ni innocent until proved guilty,
Pili, baada ya kusema hayo, nimeshaweka wazi kwamba niko radhi kutetea mwananchi asiyejiweza (kupitia pro-borno services) kwani naamini mimi na wewe na wengine wengi tumepewa wito wa kuitumikia jamii zaidi kuliko 'nafsi zetu' zaidi.
Tatu, ushahidi wa kimazingira na 'my inner conscious' haziwezi kuniruhusu kuwatetea hao watu uliowataja. Kwa hiyo I will follow my inner conscious not to accept their cases.
Natumaini nimelijibu swali lako kiufasaa.
... kwani naamini mimi na wewe na wengine wengi tumepewa wito wa kuitumikia jamii zaidi kuliko 'nafsi zetu' zaidi.
Natumaini nimelijibu swali lako kiufasaa
...kulingana na sheria za nchi... kila mtu ni innocent until proved guilty,
...ushahidi wa kimazingira na 'my inner conscious' haziwezi kuniruhusu kuwatetea hao watu uliowataja. Kwa hiyo I will follow my inner conscious not to accept their cases.