Kikwete na huku nako umefuata nini nasikia umekutana na mcheza Filamu wa Marekani Steven Seagal hivi kweli watanzania wanaitaji hili umepita kwenye makampuni ya computer IBM na google hivi unajua ni 2% ya watanzania wanaumeme ni kweli tunayaitaji haya kwa sasa baba nakusihi rudi rudi nyumbani watanzania tumechoka