kwa tahadhari kubwa naomba niandike haya, ukiwa ni mtazamo wangu na si lazima kwa mchangiaji yeyote wa JF akubaliane na mtazamo huu. katika kundi la wabunge wanaambatana na Mengi kwenye mikutano mingi ya uhamasishaji wa benki ya VICOBA na mamilioni mengi kutolewa na bwana Mengi huku kauli mbiu ikiwa ni kupiga vita ufisadi, mmoja wa wabunge hao ni Mh Aziza wa Tabora lakini cha ajabu katika mapokezi makubwa yaliyofanyika jana ya kumpokea mh RA Aziza pia alikuwepo sasa cha ajabu Aziza anapigana vita vita na Ufisadi akiwa karibu na Mengi au anaungana na ufisadi akiwa karibu na RA maana katika mapokezi ya Jana Mh Aziza mara kadhaa alikuwa akisika akisema Sema Babaaaa! mara RA anapowaeleza wananchi kuwa waachane kelele za chura, lakini ni Aziza huyo huyo ndiye aliyepokea Baiskeli toka kwa Mengi na ni mtu wa karibu sana wa mengi bakiungana na kina Mwakyembe, kimaro, kilango, sendeka, selelii na wengineo wengi sasa sijui Mh Aziza kahama kwa Mengi tena kapiga magoti kwa RA sielewi na sitaelewa naendelea kulifanyia kazi yaani si muelewi mh Aziza