By LEVINA KATO, 2nd March 2010 @ 21:02
THE National Assembly chamber in Dodoma can only accommodate 360 Members of Parliament (MPs), limiting plans by the government and the National Electoral...
Zilichotwa kwa kutumia kampuni hewa
Wafanyabiashara, wafanyakazi wahusishwa
JESHI la Polisi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wanachunguza wizi wa shilingi milioni 600 kutoka...
KATIKA hali inayoonyesha kuna mushkeri wa kweli hali ay Hewa TMA, Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Mamlaka hiyo imekuwa ikijichanganya kuhusu taarifa zake na kuleta shida kuwa kwa wananchi...
Jamani kuna siku nilidokeza kuhusiana na eneo la Posta Kawe kuendelea kuzuiliwa na Jeshi baada ya Londa kuingia na kulisawazisha bila kuitaarifu kambi la Lugalo.
Sasa eneo hilo limekuwa hatari...
The powerful earthquake that killed hundreds of people in Chile on Saturday probably shifted the Earth's axis and made days slightly shorter, a Nasa scientist has said.
Richard Gross, a...
Waganga wanavaa makoti marefu meupe, mashehe na wachungaji na mapadre wanavaa majoho meupe na marefu. Nini faida na hasara zake?
Padri, shehe wanapohubiri wanahifadhiwa na mavazi yao wasiaibike...
Kuna siku nilisikiliza Redio One kipindi cha mchana wa saa saba hivi,mtangazaji bila shaka alikuwa Masoud Masoud kama sikosei,kilikuwa ni kipindi cha wasikilizaji kupiga simu kituoni...
Katika kile kinachodhihirisha mmomonyoko mkubwa wa maadili katika jamii yetu, vijana wawili mkoani Arusha wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti kisha kumyonga hadi kufa kaka yao wa...
See our Leaders..kwa wale hamjaiona
- Mtoto kakatwa kiganja kosa la uzembe wa wauguzi- wananchi tulieni tunafanya uchunguzi
- Watu wamekuwa vipofu - ngozi za miili zimeoza migodini kutokana na...
Siku ya tarehe 1 March 19....... saa 7.25 jumapili mchana, (tarehe kama ya leo,) nilizaliwa.
kutakuwa na tafrija leo jioni saa 12, wote mnaalikwa. waliopewa jukumu la kusambaza kadi waongeze...
There has been an outbreak of swine flu fever in Kahama District, around Barricks Buzwagi Gold Mine in particular, forcing workers to restrict themselves in the mining site.
Sources close to the...
Keep the love aliveIf you've been in a relationship for some time, you'll know that it's difficult to keep conflicts or personal issues from affecting your sex life.
A good relationship is...
Aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Meatu mkoani Shinyanga, Jeremeiah Mulyambate ametangaza nia ya kugombea kiti cha ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
Akitangaza nia hiyo, Mulyambete...
BARAZA la Mawaziri wa nchi wanachama wa eneo la Maziwa Makuu linalojishughulisha na Mradi wa kudhibiti ukimwi (GLIA), linatarajia kukutana nchini kesho kwa mkutano wa siku tatu kujadili ajenda...
Habari ya kusikitisha toka Uganda inasema kuwa daktari mmoja ambaye kwa sasa ni marehemu aaliyefariki dunia kwa UKIMWI aliacha orodha ya majina ya watu wapatao 782 ambao aliwaambukiza Virusi Vya...
waliotambuliwa hadi jana ni Faustine Simon wa Katesh, Manyara; Pastory Kaiza; Epelanya Mleke; Gerald Nyitwe ambaye ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Kikosi cha 39 Arusha...