Thank you for coming Gift

Thank you for coming Gift

Lily Flower

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2009
Posts
2,553
Reaction score
1,199
Habari za jioni wana JF

Ninaomba ushauri wenu wapendwa, nina shughuli hivi karibuni na ninatafuta a THANK YOU FOR COMING GIFT amabyo its not so costy but unique.

Natanguliza shikurani zangu, cku njema everyone.
 
hebu fafanua kidogo mama!...
wengine tulikimbia umande
 
tafuta opener nzuri au hata kalamu flan na uziweke chata flan hv kama kumbukumbu kwa kila atakayepata
 
hebu fafanua kidogo mama!...
wengine tulikimbia umande

Ni zawadi ndogo/kubwa kutoka kwa maharusi/ubarikio/etc wanawapa wageni kuwashukuru kwa ujio wako kwenye sherehe yao/yake.
 
tafuta opener nzuri au hata kalamu flan na uziweke chata flan hv kama kumbukumbu kwa kila atakayepata

Asante Mnene 1 kwa ushauri, ila katika shuguli za watu nyingi huwa nakutana na hivyo vitu kama handkerchief, pen, key holder, opener na nikaona imekuwa common sana ndio maana nikaomba ushauri wa something unique.
 
sasa we mwanamama,
ni kwamba wewe unaolewa?
 
Asante Mnene 1 kwa ushauri, ila katika shuguli za watu nyingi huwa nakutana na hivyo vitu kama handkerchief, pen, key holder, opener na nikaona imekuwa common sana ndio maana nikaomba ushauri wa something unique.

Customized candles zile candle nene fupi kama za kanisani perfumed yenye majina ya wanandoa etc.
 
Customized candles zile candle nene fupi kama za kanisani perfumed yenye majina ya wanandoa etc.

Asante Sisy thats a good one nitapendekeza kwenye kamati.
 
Sisi tuliotokea kwenye lile jukwaa la bondeni kule tumeshtuka hapa kidogo "thank you for coming gift" Nilidahi unataka kumshukuru mzee for making you happy lol just effects of jukwaa forgive me sis

Btw ni wazo zuri hata ukiwapa vijikadi vidogo vyenye hayo maneno si mbaya au wengine wanaweka viti vyenye kumbukumbu zaidi kama key holders zenye ujumbe huo yaani ali mradi kunogesha mambo tu
 
Sisi tuliotokea kwenye lile jukwaa la bondeni kule tumeshtuka hapa kidogo "thank you for coming gift" Nilidahi unataka kumshukuru mzee for making you happy lol just effects of jukwaa forgive me sis

Btw ni wazo zuri hata ukiwapa vijikadi vidogo vyenye hayo maneno si mbaya au wengine wanaweka viti vyenye kumbukumbu zaidi kama key holders zenye ujumbe huo yaani ali mradi kunogesha mambo tu

Ray B kweli ulifikiri mbali.

anyways thanks kwa ushauri
 
Ni zawadi ndogo/kubwa kutoka kwa maharusi/ubarikio/etc wanawapa wageni kuwashukuru kwa ujio wako kwenye sherehe yao/yake.

Why dont you use the money kwa kuwanunulia watoto wa Buguruni primary Penseli na Madaftari! Hii itakuwa zawadi ya kukumbkwa mioyoni mwao na kwetu ia kuliko huku kujifaharisha mnakokufanya siku hizi aaargh!:angry::angry::angry::angry:
 
Back
Top Bottom