Hizi ndio sifa kubwa za mwanamume wa kweli?

Hizi ndio sifa kubwa za mwanamume wa kweli?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,701
Reaction score
6,936
Kuna baadhi ya wanawake wanasema mwanamume wa kweli ni yule ambaye ana mambo yafuatayo: 1. ana mke, 2. ana mtoto au watoto, 3. ana nyumba moja au zaidi na 4. ana gari au magari. Je hii imekaa sawa?
 
Kila binadamu ana maisha yake! maisha ya Binadamu anapanga Mungu full stop!
 
Mwanaume kamili ni yule mwenye kuijali familia yake kwa kuwapatia mahitaji yote muhimu na kumfikisha mkewe kileleni mwa mlima kilimanjaro.:target:
 
kweli hizo ni sifa lakini kwa wanawake wa mjini wanaopenda show off.! na ukioa mwanamke wa aina hii UTAJUTA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom