Mods naomba muiache kwa muda video hii, nimeipenda sana lakini sijui maneno yanayosemwa. Baadaye muipeleke panapohusika tafsiri ikishapatikana, asante. Huyu mama anamwambia nini mwanaume kwenye...
A FORMER Cabinet Minister, Mr Anthony Diallo, has filed a suit at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam against activist Kainerugaba Msemakweli, demanding among others, payments...
The World Carrot Museum has discovered several groups of people who make musical instruments from Carrots (and other vegetables and fruit). Click here to read more about each individual group...
Jamani naumia, naumia, naumia hata sijui nimlilie nani katika hili jambo nililoliona mchana wa leo !
Nilikuwa maeneo ya Kipawa karibu na Sido Mkoa nikashuhudia magari makubwa...
i missed u guyz so much yaani.
Ni juzi jf ilipokuwa offline ndipo nkagundua kuwa na mie ni mmoja wa waathirika tusioweza kupitisha siku bila kujidunga kitu inaitwa jf.
jana nzima nayo kila...
Leo nimeona kwenye TV Rais wetu akipokea JEZI ya RONALDO ambayo ni zawadi toka Real Madrid kwa kutambua nini sijui wanajua wenyewe...........
Katika speech yake alishukuru eti ANASHUKURU SANA...
Habarini za mchana
Jamani mimi kuna kitu kinanitatiza, nashindwa hata kuelewa. Kwa kawaida mtu unapokata ticket ya ndege as RETURN TICKET si huwa inaandika unaondoka lini na kurejea lini...
To better understand the background and environment that breeds situations of abuse of OFWs:
"It was like a bad dream" is the way one migrant worker from the Philippines summed up his experiences...
Hivi inawezekana JF kukawa na membaz ambao wako real willingly kutoa details zao?namaanisha kwamba no zao zikajulikana kwa mfano hili tatizo la Jf for these two daiz,mm niko tayari kutoa my no ili...
Leo nimeona Barua ofisini ya kukumbushia wale waliopata mkopo kwenye Bodi ya mikopo na bado hawajaanza kulipa waanze kufanya hivyo mara moja lasivyo mwajiri pamoja na mwajiriwa atachukuliwa hatua...
Kuna ujenzi unaendelea katika kanisa hili ila tatizo kubwa limekuwa ujenzi umekuwa hauendi katika speed inayotakiwa japokuwa hela ya kutosha ipo ya kazi kuendelea
Ujenzi umesimama kwa muda sasa...
Nina hakika nchi za Kiafrika na Kiarabu kwa pamoja zikikataa kufanya biashara au kuwa na ushirikiano wowote na Wayahudi haitochukua muda suluhisho la serikali mbili, yaani, ile ya Kiyahudi na ile...
Wadau wa JF,
Kwa kweli hili suala la mgao wa umeme TENA nchi nzima limenisikitisha sana. TANESCO sucks big time na uongozi wake wote. Iweje watangaze umeme utakuwa historia halaf ndani ya miezi...
Je sheria hii mpya ya uchaguzi iliyosainiwa kwa mbwembwe zote kama ilivyokuwa imeahidiwa hapo awali itaweza kupunguza rushwa katika uchaguzi na hivyo kutupatia viongozi bora? Kama hivyo ndivyo...
jerry muro akoswa risasi
habari ambazo gazeti hili ilizipata kutoka kwa chanzo chake cha kuaminika zilisema jerry ambaye alikuwa mahakamani hapo katika kesi yake anayotuhimiwa kuomba rushwa na...
If there was a time when the Church And mosque needed to pray was now! The world is worse now than Sodom and Gomorrah please rise up and pray!
Man's inhumanity to man. A bus was ambushed...
wanasiasa waongo,
madaktari waongo, wa kichwa anapasuliwa mguu na wa mguu anapasuliwa kichwa.
Wachina , Wamerekani na Warusi wote waongo,
Wanaume waongo ,
wanawake waongo,
Mashehe waongo...