Ninafanya kazi ya kuwabebea wengine ujauzito

Ninafanya kazi ya kuwabebea wengine ujauzito

Miss Halima

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2026
Posts
307
Reaction score
682
Lorna Fidelia hufanya kazi ya kuwabebea wengine uja uzito. Amewahi kubeba mimba ya pacha watatu miaka michache iliyopita na sasa anatafuta kubeba mtoto mwingine.

Lorna ni miongoni mwa wanawake waliokumbatia kazi hii ili kuzisaidia familia ambazo zimekosa kupata watoto .

Nilikaa chini nikawaza nimekuwa single mother miaka mingi. Nikakaa nikafikiria mimi niko na hawa watoto Ninafanya kazi hata pesa haitoshi lakini kuna mtu ambaye hana watoto ako na provision anaweza afford rent, food , shule na hana mtoto. Nikaona naweza kusaidia mtu hana watoto at the same time anisaidie mimi na Watoto wangu" Lorna Fidelia

Kabla ya kukubalika kubeba uja uzito, anayebeba mimba na wazazi wa toto huandikishana mkataba wa kisheria. Katika mkataba huo, wanakubaliana malipo na vipengee kama vile anayebeba mimba kutokuwa na haki ya kumchukua mtoto anayezaliwa.

Baada ya hapo , mchakato mzima huanza hospitalini ambapo mtaalamu wa mayai ya uzazi huwapima wazazi husika na kutoka mayai ya kiume na ya kike kabla ya kupima afya ya anayebeba mimba alafu kufanya upandikizaji

Daktari Susan Karanja ni mtaalamu wa upandikizaji mimba katika hospitali ya Nairobi West jijini Nairobi anasema nchini Kenya anayebebea wengine mimba anafaa kuwa kati ya umri wa miaka 25 hadi 45 na hufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukubalika.

'Huyu surrogate anapitia mchakato wa uchunguzi wa kiafya. Anaangaliwa kama yuko sawa, je damu yake iko sawa tukishamaliza daktari anaangalia nyumba ya mtoto kama iko sawa. Tukishatoa yale mayai mume anatoa mbegu zake tunachukua zile mbegu na mayai ya mke tunakutanisha alafu tunamuwekea huyo surrogate anayebeba mimba kwenye nyumba ya uzazi.'

Baada ya upandikizaji, anayebeba mimba hupumzika bila kufanya kazi ngumu ili asihatarishe uja uzito.
1788850371180.png
 
Lorna Fidelia hufanya kazi ya kuwabebea wengine uja uzito. Amewahi kubeba mimba ya pacha watatu miaka michache iliyopita na sasa anatafuta kubeba mtoto mwingine.

Lorna ni miongoni mwa wanawake waliokumbatia kazi hii ili kuzisaidia familia ambazo zimekosa kupata watoto .

Nilikaa chini nikawaza nimekuwa single mother miaka mingi. Nikakaa nikafikiria mimi niko na hawa watoto Ninafanya kazi hata pesa haitoshi lakini kuna mtu ambaye hana watoto ako na provision anaweza afford rent, food , shule na hana mtoto. Nikaona naweza kusaidia mtu hana watoto at the same time anisaidie mimi na Watoto wangu" Lorna Fidelia

Kabla ya kukubalika kubeba uja uzito, anayebeba mimba na wazazi wa toto huandikishana mkataba wa kisheria. Katika mkataba huo, wanakubaliana malipo na vipengee kama vile anayebeba mimba kutokuwa na haki ya kumchukua mtoto anayezaliwa.

Baada ya hapo , mchakato mzima huanza hospitalini ambapo mtaalamu wa mayai ya uzazi huwapima wazazi husika na kutoka mayai ya kiume na ya kike kabla ya kupima afya ya anayebeba mimba alafu kufanya upandikizaji

Daktari Susan Karanja ni mtaalamu wa upandikizaji mimba katika hospitali ya Nairobi West jijini Nairobi anasema nchini Kenya anayebebea wengine mimba anafaa kuwa kati ya umri wa miaka 25 hadi 45 na hufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukubalika.

'Huyu surrogate anapitia mchakato wa uchunguzi wa kiafya. Anaangaliwa kama yuko sawa, je damu yake iko sawa tukishamaliza daktari anaangalia nyumba ya mtoto kama iko sawa. Tukishatoa yale mayai mume anatoa mbegu zake tunachukua zile mbegu na mayai ya mke tunakutanisha alafu tunamuwekea huyo surrogate anayebeba mimba kwenye nyumba ya uzazi.'

Baada ya upandikizaji, anayebeba mimba hupumzika bila kufanya kazi ngumu ili asihatarishe uja uzito.
View attachment 3665619
Mawasiliano yako tafadhari nataka kutest kama nina kizazi😂
 
Lorna Fidelia hufanya kazi ya kuwabebea wengine uja uzito. Amewahi kubeba mimba ya pacha watatu miaka michache iliyopita na sasa anatafuta kubeba mtoto mwingine.

Lorna ni miongoni mwa wanawake waliokumbatia kazi hii ili kuzisaidia familia ambazo zimekosa kupata watoto .

Nilikaa chini nikawaza nimekuwa single mother miaka mingi. Nikakaa nikafikiria mimi niko na hawa watoto Ninafanya kazi hata pesa haitoshi lakini kuna mtu ambaye hana watoto ako na provision anaweza afford rent, food , shule na hana mtoto. Nikaona naweza kusaidia mtu hana watoto at the same time anisaidie mimi na Watoto wangu" Lorna Fidelia

Kabla ya kukubalika kubeba uja uzito, anayebeba mimba na wazazi wa toto huandikishana mkataba wa kisheria. Katika mkataba huo, wanakubaliana malipo na vipengee kama vile anayebeba mimba kutokuwa na haki ya kumchukua mtoto anayezaliwa.

Baada ya hapo , mchakato mzima huanza hospitalini ambapo mtaalamu wa mayai ya uzazi huwapima wazazi husika na kutoka mayai ya kiume na ya kike kabla ya kupima afya ya anayebeba mimba alafu kufanya upandikizaji

Daktari Susan Karanja ni mtaalamu wa upandikizaji mimba katika hospitali ya Nairobi West jijini Nairobi anasema nchini Kenya anayebebea wengine mimba anafaa kuwa kati ya umri wa miaka 25 hadi 45 na hufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukubalika.

'Huyu surrogate anapitia mchakato wa uchunguzi wa kiafya. Anaangaliwa kama yuko sawa, je damu yake iko sawa tukishamaliza daktari anaangalia nyumba ya mtoto kama iko sawa. Tukishatoa yale mayai mume anatoa mbegu zake tunachukua zile mbegu na mayai ya mke tunakutanisha alafu tunamuwekea huyo surrogate anayebeba mimba kwenye nyumba ya uzazi.'

Baada ya upandikizaji, anayebeba mimba hupumzika bila kufanya kazi ngumu ili asihatarishe uja uzito.
View attachment 3665619
Hivi mtoto si wa mama kweli ? Mtoto siku atataka kumjua mama yake na hapo sijui Mkataba unasemaje, hasa suala la upendo wa mtoto kwa mama yake mzazi.
 
Lorna Fidelia hufanya kazi ya kuwabebea wengine uja uzito. Amewahi kubeba mimba ya pacha watatu miaka michache iliyopita na sasa anatafuta kubeba mtoto mwingine.

Lorna ni miongoni mwa wanawake waliokumbatia kazi hii ili kuzisaidia familia ambazo zimekosa kupata watoto .

Nilikaa chini nikawaza nimekuwa single mother miaka mingi. Nikakaa nikafikiria mimi niko na hawa watoto Ninafanya kazi hata pesa haitoshi lakini kuna mtu ambaye hana watoto ako na provision anaweza afford rent, food , shule na hana mtoto. Nikaona naweza kusaidia mtu hana watoto at the same time anisaidie mimi na Watoto wangu" Lorna Fidelia

Kabla ya kukubalika kubeba uja uzito, anayebeba mimba na wazazi wa toto huandikishana mkataba wa kisheria. Katika mkataba huo, wanakubaliana malipo na vipengee kama vile anayebeba mimba kutokuwa na haki ya kumchukua mtoto anayezaliwa.

Baada ya hapo , mchakato mzima huanza hospitalini ambapo mtaalamu wa mayai ya uzazi huwapima wazazi husika na kutoka mayai ya kiume na ya kike kabla ya kupima afya ya anayebeba mimba alafu kufanya upandikizaji

Daktari Susan Karanja ni mtaalamu wa upandikizaji mimba katika hospitali ya Nairobi West jijini Nairobi anasema nchini Kenya anayebebea wengine mimba anafaa kuwa kati ya umri wa miaka 25 hadi 45 na hufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kukubalika.

'Huyu surrogate anapitia mchakato wa uchunguzi wa kiafya. Anaangaliwa kama yuko sawa, je damu yake iko sawa tukishamaliza daktari anaangalia nyumba ya mtoto kama iko sawa. Tukishatoa yale mayai mume anatoa mbegu zake tunachukua zile mbegu na mayai ya mke tunakutanisha alafu tunamuwekea huyo surrogate anayebeba mimba kwenye nyumba ya uzazi.'

Baada ya upandikizaji, anayebeba mimba hupumzika bila kufanya kazi ngumu ili asihatarishe uja uzito.
View attachment 3665619
Kaushauri ka bure toka huku Manzese kwa mfuga Mbwa, bora aende kwenye vituo ambavyo hupokea watoto wachanga kabisa waliotupwa na mama zao au waliofiwa na mama zao na baba hajulikani. Dogo anaweza hamisha mzigo ukaenda kwa wajomba kilaini tu.
 
Back
Top Bottom