Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
1 Replies
18 Views
★Wizara yaweka lengo la kufikisha mfumo huo katika mikoa yote ifikapo 2027 Serikali imeongeza kasi ya matumizi ya mfumo wa kidijiti wa e-Ardhi ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za ardhi na...
1 Reactions
5 Replies
44 Views
Karibuni wakuu Ni mashine gani bei kati ya 1m to 5m ukinunua zinaweza kukuingizia kipato kizuri kama side hustle ?
1 Reactions
26 Replies
648 Views
★Wanawake watakiwa kuachana na dhana potofu kuwa ardhi ni mali ya wanaume Serikali imewasisitiza wanandoa kumiliki ardhi kwa pamoja ili kuepuka na kupunguza migogoro ya umiliki wa ardhi na...
2 Reactions
2 Replies
36 Views
SIHITAJI SADAKA YAKO, MIMI SIO NABII, SIKUFUNDISHI UAMINI NINI, ILA NATAKA UJUE UKWELI Utazaliwa na kuitambua njia moja ya kutaka kupata tendo, ambayo ni kwenye uke. Itafika hatua ambapo unakuwa...
8 Reactions
95 Replies
1K Views
Kiukweli hii nchi yetu ukiondoa hizi barabara kuu ni shida tupu hasa hiki kipindi cha mvua! Kwa upande wangu gari zote nilizowahi kumiliki ni gari za chini, ila tu niseme ukweli kipindi chote...
7 Reactions
12 Replies
323 Views
Baada ya mkataba wa ajira kwisha nataka kudeal na photo.. Nimeona nianze na Epson,, kamera ninayo,, lakini pia naomba kujua app nzuri ya kudeal na photo editing, asante,,
0 Reactions
1 Replies
23 Views
Juzi nimenunua headphones za JBL nikauziwa bei ndogo sana, nilidhani nimewachapa ila kumbe ni copy na nilijua hilo ila nikikausha tu.. Hazina quality ya aina yoyote. Imenifikirisha sana...
8 Reactions
24 Replies
200 Views
Ujenzi wa Kituo Kikuu cha Mabasi cha Jiji la Arusha umefikia asilimia 71.91 ya utekelezaji. Mradi huo unalenga kuboresha huduma za usafiri, kuweka mazingira bora kwa wafanyabiashara na kuongeza...
0 Reactions
3 Replies
60 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw.Albert Chalamila, ameagiza kila nyumba kuwa na kifaa cha kuhifadhia taka (dustbin) angalau mbili kama sehemu ya juhudi za kuhakikisha Jiji la Dar es Salaam...
1 Reactions
6 Replies
69 Views
  • Redirect
Serikali chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuweka mazingira ya kuwawezesha Watanzania, hususan vijana, kunufaika zaidi na fursa za kiuchumi. Baada ya msukumo katika sekta ya...
0 Reactions
Replies
Views
▪︎ Awataka vijana kuchangamkia fursa ▪︎ Aagiza leseni zisizoendelezwa zipewe vijana WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka vijana wa Kitanzania wachangamkie fursa zilizopo katika sekta ya...
0 Reactions
3 Replies
39 Views
  • Poll Poll
Kuna siku niligundua kuwa rafiki yangu wa karibu sana ana wivu. Kila nilipomshirikisha mafanikio yangu, badala ya kufurahi pamoja nami, alikuwa akitafuta namna ya kujilinganisha na mimi...
2 Reactions
21 Replies
176 Views
  • Redirect
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ameonyesha kutoridhishwa kwake na jezi mpya zinazosambaa zikidaiwa kuwa za timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Waziri Makonda...
0 Reactions
Replies
Views
Mawakili wanaomwakilisha msanii na mfanyabiashara mashuhuri wa nchini Marekani, Sean "Diddy" Combs, wamewasilisha ombi rasmi mahakamani la kujiondoa katika kumwakilisha kwenye kesi yake ya madai...
1 Reactions
0 Replies
29 Views
Eneo linauzwa morogoro -mvomero lipo kalibu na hospital ya mvomero,barabara ya mvomero na ni km10 tu toka dodoma road ndani ya eneo kulikua na uwekezaji wa madarasa mawili,minazi na mabwawa ya...
2 Reactions
8 Replies
101 Views
Members. KILA MTU ana maisha Fulani ivi ameyaishi. Katika ukuaji wake. Tukiwa bado wadogo tuna jishepu kutokana na maisha HALISI ya kwenu na wazazi wetu. Mimi binafsi nimeisha maisha ambayo ata...
4 Reactions
33 Replies
274 Views
Kwanini wanawake wa siku wanaonekana kumpenda,kuendwkeza,kujisifia na kuabudu mambo ya Ngono?
3 Reactions
20 Replies
290 Views
Awe kijana na mwenye uwezo mkubwa wa kutumia Computer anicheck DM tufanye kazi maana nimepewa kazi halafu sijampata mpka sasa mtaalamu
0 Reactions
5 Replies
44 Views
Back
Top Bottom