JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..tunaambiwa kwamba huyu bwana amebembelezwa ili agombee.
..taasisi yoyote inapoamua kutafuta mtu wa kuiongoza nje ya taasisi hiyo, basi uwezekano mkubwa ni kwamba walioko mle ndani wamekosa sifa za kuipeleka mbele taasisi hiyo.
..sasa ni nini kimeisukuma CCM kutafuta mgombea nje ya makada wake ambao wako-active?
..Je, ni kukiri kwamba makada na watendaji wa CCM kwenye chama na serikali wamechoka na hawana uwezo?
..kwanini wananchi wachague chama hiki, wakati wenye chama wenyewe wanakiri kwamba wameshindwa kiasi kwamba wamelazimika kwenda "nje ya chama" kutafuta mgombea?
..Je, Jaji Ramadhani atatimu makada wote wa ngazi za juu, kati, na chini, ili kusimika mfumo mpya utakaoendana na matakwa ya wananchi? Uwezo huo anao?
cc Rev. Kishoka, Kapwela, Mkandara, Ritz, Kobello, Kiranga, Nyani Ngabu, Mzee Mwanakijiji, Ngongo, zumbemkuu, ZeMarcopolo, VUTA-NKUVUTE, Mag3, Pasco, Nguruvi3
..taasisi yoyote inapoamua kutafuta mtu wa kuiongoza nje ya taasisi hiyo, basi uwezekano mkubwa ni kwamba walioko mle ndani wamekosa sifa za kuipeleka mbele taasisi hiyo.
..sasa ni nini kimeisukuma CCM kutafuta mgombea nje ya makada wake ambao wako-active?
..Je, ni kukiri kwamba makada na watendaji wa CCM kwenye chama na serikali wamechoka na hawana uwezo?
..kwanini wananchi wachague chama hiki, wakati wenye chama wenyewe wanakiri kwamba wameshindwa kiasi kwamba wamelazimika kwenda "nje ya chama" kutafuta mgombea?
..Je, Jaji Ramadhani atatimu makada wote wa ngazi za juu, kati, na chini, ili kusimika mfumo mpya utakaoendana na matakwa ya wananchi? Uwezo huo anao?
cc Rev. Kishoka, Kapwela, Mkandara, Ritz, Kobello, Kiranga, Nyani Ngabu, Mzee Mwanakijiji, Ngongo, zumbemkuu, ZeMarcopolo, VUTA-NKUVUTE, Mag3, Pasco, Nguruvi3