Katika press review yangu nimekutana na hii article.
This is an echoe to what Zitto said here: Foreign aid is not the only African story worth hearing | Zitto Kabwe | Global development |...
Today I would like to share a lesson with you my friend. I want to share information how you can boost your memory and being able to recall things, such as; events, time or people, easier and...
SEHEMU YA KWANZA...Kiasi kinachopendekezwa kuliwa ni zaidi ya bilioni mbili.
itaendelea...
cc: Nguruvi3, Nape Nnauye JokaKuu Jasusi, Bongolander, Mchambuzi, Candid Scope MTAZAMO...
Salaam.
Hivi karibuni kumekuwepo na taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuhusu afya ya kiongozi mkuu wa nchi Mh. Raisi Jakaya Mrisho Kikwete, kupata matibabu ya tezi dume nchini...
Hashim Lundenga kapoteza mwelekeo pale aliposema taarifa za Cheti cha kuzaliwa ndizo wao huzifanyia Kazi na wala siyo Hati ya kusafiria.
Asichojua kibosile wa Miss. Tanzania ni kuwa Hati ya...
CCM MAJI YA SHINGO,AIBU YATAWALA, BUNGE LAVUNJIKA KIAINA
WAGAWE UWATAWALE, MBINU INAYOPIKWA DHIDI YA UKAWA
UKAWA KUREJEA MAKOSA YA SIKU ZA NYUMA (JUISI NA CHAI IKULU)
Sehemu ya I
Ndugu wana...
UKAWA strikes me as a congregation of those bitterly opposing CCM hegemony and are now a coalition of the willing to puncture CCM bloated ego at the national high table. UKAWA deeply believes...
RASIMU YA WARIOBA IMEANDIKWA KWA MFUMO WA SERIKALI 3
KUIFUMUA NI KUBADILISHA KILA KITU
MAMLAKA YA KUANDIKA RASIMU MBADALA YAMETOKA WAPI?
Bunge la katiba limeanza kuijadili rasimu kupitia kamati...
MBINU ZIMEKWISHA, SASA NI UPOTOSHAJI
WALENGWA NI VIJANA NA WANANCHI WA KAWAIDA MITAANI NA VIJIJINI
Bunge la katiba linaendelea Dodoma kukiwa na msuguano mkubwa ndani ya CCM.
Nje ya CCM kuna...
MZALENDO au NDUMILA KUWILI?
Tuwangalie kwa jicho angavu
Ni tatizo tusilolijua
Pande mbili za mheshimiwa na tusiyoyakumbuka
Wanajamvi tutakuwa na sehemu I-III kuhusiana na mwenyekiti wa bunge la...
TAARIFA za kiintelijensia zimebaini kuwa CHADEMA ndio wamesababisha mgomo wa madaktari, mgomo ambao umeendelea kwa siku kadhaa sasa na umehatarisha maisha ya wagonjwa wengi na umesababisha hata...
Kuna nyakati bahari huwa sio nzuri sana na kuna nyakati bahari hutulia. Kama binadamu tunatakiwa kujua nyakati zote hizo. Captain mzuri anajua kucheza na mawimbi na kuongoza meli vizuri bila...
TOFAUTI KATI YA WANAZUONI (INTELLECTUALS)NA WASOMI (INTELLECTS)
Mwanazuoni ni nani? Je, kuna tofauti kati ya mwanazuoni(intellectual) na msomi (intellect worker/intelligentsia)? Ndiyo, ipo...
ZANZIBAR INAJIBANZA KWA MGONGO WA MUUNGANO
MTANGANYIKA ANALIPA KWA KILE ASICHOTUMIA
ZIGO LA UENDESHAJI WA SMZ NI LA MTANGANYIKA
Sehemu ya I
Wanajamvi
Katika mambo yasiyozungumzwa au kugusiwa...
Katika mjadala mhimu wa kupata Katiba Mpya ni busara kusikia maoni ya Wachambuzi mbalimbali ili wananchi wapate maamuzi sahihi baada ya kusikia maoni mbalimbali. Huyu mzee simsikii popote hata...
Ni matumaini yangu nyote ni wazima na wenye Afya tele. Afya ya mwili ni muhimu sana kwa afya ya akili. Binadamu hatoweza kufikiri vizuri kama Afya yake mwili haiko sawa sawa.
Kwahiyo ndugu...
MAONI KUHUSU KATIBA MPYA
Kwa nini mambo yote yawe ya Muungano.
Kufuatia mgogoro uliopo baina ya pande mbili za kisiasa kushindwa kufikia muafaka juu ya muundo wa serikali ningependa kusema tatizo...
Mwenyekiti Kikundi kazi serikali za Mitaa kilicho chini ya Taasisi Policy Forum Bwana Hebron Mwakagenda (kushoto)
akizungumza na waandishi wa habari kuhusu pendekezo uchaguzi serikali za mitaa...
Ni siku nyingine tena tunakutana kujadìli changamoto zinazotukabili kama taifa. Jambo hili linahitaji akili zilizopevuta kutafakari na kujua ni nini sisi kama taifa tunahitaji ili tusonge mbele...
KELELE ZA UJANA NA MBIO ZA UONGOZI
HAWANA MAONO, HAWAJIAMINI, WAMEBAKI KULAMBA MIGUU
WAMEVAA NGOZI ZA CHUI, NI WOGA KAMA FISI, NA WASALITI KAMA YUDA
Sehemu ya I kati ya 2
Wanaduru
Tuliwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.