Wadau habari za jmosi.
Natumai kuna wapenzi wa kuangalia tamthilia za kizungu humu jamvini, mi'ningependa kujua zile zilizo zaidi japo nizitafute, nilikua nafuatilia the legend of the seeker...
Kama ulikuwa ndani ya Dar Live utakubaliana nami hapo juu kuwa jamaa,huenda aliyekuwa amempiga 'misumari' kaamua kuachia. Jamaa kafanya bonge 1 la shoo. Pipo hatukuamini,kivumbi sasa...
Mazee yani we yaani,huku ni zaidi ya burudani,kuna muda umeme ulikatika ukumbi mzima watu PIPOOOZ POWER!!!!!!!!! na kweli power ikarudi,mambo yanaendelea kama hatuko mbagala vile,PIIIIPOZ!!
True, I love Isidingo the Need, the South African soap opera. it takes some of my evenings gluing me on ITV, just before 8.00 p.m. news. I find it entertaining, fun and education especially in...
Kwa wale vijana wenzangu wa miaka ya 70 na 80 tujikumbushe enzi za San Sui disco na mengineyo. Kama kuna wanazozikumbuka zingine naomba waziweke.
http://youtu.be/zR2LYxkLuQg
Leo ni J2 siku ya disco. Watu wanadamka asubuhi kwenda kucheza disco katika kumbi mbalimbali.Maeneo ya mission leo ni disco zito na watu wakoshazi. Karibu yangu kunaukumbi hapa unasumbua sana...
Wadau niko hapa Da West Park Tabata leo ndo kuna ule mtanange wa kutafuta Mlimbwende wa Tabata watu ni wengi kweli kuna bendi ya mashujaa na Mashauzi Clasic mambo ni mazuri kwa kweli. Mashujaa...
"Remember the songs
Used to make you rock away
Those were the days
When love used to reign, hey
We danced all night to the songs they played
Weekend come again, do it just the same".....by Beres...
Tafadhal mod sina uhakika kama ndo mahali pake ila nitakuomba kama si mahali pake ninaomba uiachie hapa ili nipate jibu haraka kwani natumai sehemu hii wanaoingia hapa ni wengi.Wimbo huo ni ule...
Great thinker,naomba kwa ambaye ameona movie nzuri ya series anitajie ili niitafute inikeep busy,nimeangalia,legend of the seeker,merlin,robin hood,24,lost ,spartacus,prison breaker,vampire...
...kwa mjumbe ambae anajua namba za Muyenjwa Gamba anaeandaa kipindi cha Hizi Nazo kwa hisani yake anipatie. Alternatively, kwa mjumbe anaemfahamu kaka Zomboko amuulizie ili nipate hiyo contact...
Waswahili wanasema kuwa ngooma ikivuma sana hupasuka. Mashindano ya Bss japo yapo kitambo sasa yameonekana hayana tija kwa upande wa washiriki ila ni mtaji kwa waandaaji. Nasema hivi kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.