Liko wapi shindano la maisha plus??

Liko wapi shindano la maisha plus??

Nakapanya

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
2,096
Reaction score
709
Maisha plus lilikuwa ni shindano zuri na lilitokea kuteka mioyo wa Watanzania wengi(mimi pia nikiwa miongoni mwao).Sasa nashangaa shindano hili limekufa ghafla tena kile kifo wanaita Natural death.kuna yewyote mwenye kuelewa juu ya shindano hili na mipango ya waandaji?
 
nadhan tbc walizinguana na kipanya hasa baada ya kuondoka tido mhando
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom