Top five wasanii wenye pesa bongo,

Top five wasanii wenye pesa bongo,

Khlala

Senior Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
170
Reaction score
123
Mpe somo mkuu huyu jamaa sio mwanachuo kabisa kwani hao viongozi wa udosso hajui ofisi zake zilipo?
 
Fid Q anamiliki nini wakati anaishi nyumba ya kupanga? AY ni international kweli lakini hebu tuambie anamiliki nini au ameajiri watu wangapi? Prof J hana kitu ila ana za bia tu, Diamond anapata pesa nyingi kwenye show zake lakini hajawekeza zaidi ya kununua wanawake/warembo. Nasikia ana duka la nguo huko sinza anakoishi kwenye nyumba ya kupanga lakini haitoshi kusema kuwa ni tajiri japo nakubali dogo ni mpiganaji. NAMKUBALI JIDE kwani anamiliki bendi yake, club yake ya nyumbani lounge, ana bangalows zisizopungua tatu mojawapo naifahamu iko kinyerezi nk.
 
unatumia base ipi wewe ndugu..?au unasoma magazeti ya shigongo?
 
Acha mbwembwe wewe.Neno 'wasanii' ni pana,rekebisha heading yako,wasanii wote wana pesa bongo,hadi omba omba wana pesa...Nonsense!
 
Back
Top Bottom