Hizi habari kwamba John Cena yule wa W.W.E (World Wrestleling Entertainment) amefariki ni za kwel? Naomba mwenye kufahamu anijuze wadau.
Duh...Hivi kwani nini huwa watu wanapenda kuzushiana vifo jamani?
Hizi habari kwamba John Cena yule wa W.W.E (World Wrestleling Entertainment) amefariki ni za kwel? Naomba mwenye kufahamu anijuze wadau.
Na Wakati huo huo The Rock ndie Bingwa wetu Mpya wa Heavyweight baada ya kumpa kichapo CM Punk Game ilikuwa na Utata baada ya Taa Kuzimwa na Inasemekana the Shield waliingia na kumpa kichapo cha nguvu gizani the Rock baada ya Taa kuwaka the Rock alikuwa hoi hajiwezi Punk akamuingiza na kushinda ila The Big Boss akataka kumpoka Ushindi the Punk kabla hajamaliza The Rock akampinga the Big Boss kuwa hataki ushindi wa Mezani bali anaomba Game iwe Restart ndipo ikakubaliwa na mwishowe The Rock akawa Champion
![]()
Hizi habari kwamba John Cena yule wa W.W.E (World Wrestleling Entertainment) amefariki ni za kwel? Naomba mwenye kufahamu anijuze wadau.
Na Wakati huo huo The Rock ndie Bingwa wetu Mpya wa Heavyweight baada ya kumpa kichapo CM Punk Game ilikuwa na Utata baada ya Taa Kuzimwa na Inasemekana the Shield waliingia na kumpa kichapo cha nguvu gizani the Rock baada ya Taa kuwaka the Rock alikuwa hoi hajiwezi Punk akamuingiza na kushinda ila The Big Boss akataka kumpoka Ushindi the Punk kabla hajamaliza The Rock akampinga the Big Boss kuwa hataki ushindi wa Mezani bali anaomba Game iwe Restart ndipo ikakubaliwa na mwishowe The Rock akawa Champion
![]()
kaka wewe uacheki kupitia station gani coz wengine hizi stations rayal rumble bado tunasubiri tu
Ebana mimi Naishi maeneo ya karibu na Town so kuna Huduma inaitwa Cable TV ni wire unakuja hadi home kwako wana ving'amuzi ambavyo vina channel Nyingi sana kama 180 hivyo kuna abudhabi channel humo ambazo huonesha Mieleka Live haswa Monday night huku kwetu ni alfajiri huwa na friday jumamosi huwa ni marudio kama sasa hivi namtizama Booker T anatoa maneno yake huku Jack Swagger aikibuka upya. unaweza kuwacheki kwa namba ya Landline 022 22 2116611 kama wanafika area yenu wapo sehemu nyingi za mji kama hawafiki kwenu wanampango wa kuleta madish unajiunga na wanakupa dish basi unakula vitu vya ukweli decoder zao zinauwezo wa kurecord pia