Jamani kuna tetesi zimezagaa kuwa flora mvungi baada ya kuvishwa pete ya uchumba kaivua na kumrudishia h.baba kwa madai kuwa ameona hafai kuwa mme mwema..mwenye habari zaidi atujuze
si kweli, niliongea nao wote wawili wakakana..Hbaba yuko Moro (jana) na flora yuko location ..si kweli!! Mod funga uzi huu!!Period.
Simple minds discuss people unlike great minds
Jamani kuna tetesi zimezagaa kuwa flora mvungi baada ya kuvishwa pete ya uchumba kaivua na kumrudishia h.baba kwa madai kuwa ameona hafai kuwa mme mwema..mwenye habari zaidi atujuzeView attachment 69383
Jamani kuna tetesi zimezagaa kuwa flora mvungi baada ya kuvishwa pete ya uchumba kaivua na kumrudishia h.baba kwa madai kuwa ameona hafai kuwa mme mwema..mwenye habari zaidi atujuzeView attachment 69383
Jamani kuna tetesi zimezagaa kuwa flora mvungi baada ya kuvishwa pete ya uchumba kaivua na kumrudishia h.baba kwa madai kuwa ameona hafai kuwa mme mwema..mwenye habari zaidi atujuzeView attachment 69383
Yako mangapi yanakushinda? Acha umbeaJamani kuna tetesi zimezagaa kuwa flora mvungi baada ya kuvishwa pete ya uchumba kaivua na kumrudishia h.baba kwa madai kuwa ameona hafai kuwa mme mwema..mwenye habari zaidi atujuzeView attachment 69383