mnyongeni
Senior Member
- Dec 6, 2011
- 141
- 24
Habari wadau
leo naona ni bora nitoe dukuduku langu kwani nahisi hapa ni mahali sahihi pa kufanikiwa ndoto zangu. mimi ninapenda sana kuimba, na malengo yangu ilikuwa ni kuwa mwanamuziki hapo siku za mbeleni kwani nina sauti ya kuimba tena nzuri sana. tatizo nililonalo sina pumzi ya kuimba kwa muda mrefu au kuimba haraka haraka ninawahi kuchoka. na kupelekea ubora wa uimbaji kupungua. hivyo ninaomba msaada wa ushauri nifanyeje ili niodokane na tatizo hili.
msaada please
asanteni
leo naona ni bora nitoe dukuduku langu kwani nahisi hapa ni mahali sahihi pa kufanikiwa ndoto zangu. mimi ninapenda sana kuimba, na malengo yangu ilikuwa ni kuwa mwanamuziki hapo siku za mbeleni kwani nina sauti ya kuimba tena nzuri sana. tatizo nililonalo sina pumzi ya kuimba kwa muda mrefu au kuimba haraka haraka ninawahi kuchoka. na kupelekea ubora wa uimbaji kupungua. hivyo ninaomba msaada wa ushauri nifanyeje ili niodokane na tatizo hili.
msaada please
asanteni