Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,884
Kama tulivyokubaliana kuwa tutakumbushana..........Miss World ni leo na itarushwa moja kwa moja na Star TV au kwa wale wanaoweza kupata Citizen ya Kenya........mjimuvuzishe huko........Star TV ni kuanzia saa 9 mchana...(1500hrs).....na Citizen wanaanza saa 4 asubuhi......(10 a.m).......mshiriki wetu Brigitte Alfred ndiye anaetuwakilisha katika mtanange huo........
Kwa wale wadau wa urembo.......tushirikiane kumuombea aweze kufika angalau mbele mbele huko......
Sijathibitisha.......ila nasikia.....kashinda......taji la MISS WORLD BEAUTY WITH PURPOSE 2013.........
Kila la kheri Brigitte.........
Kwa wale wadau wa urembo.......tushirikiane kumuombea aweze kufika angalau mbele mbele huko......
Sijathibitisha.......ila nasikia.....kashinda......taji la MISS WORLD BEAUTY WITH PURPOSE 2013.........
Kila la kheri Brigitte.........