Jana nilikuwa nawatch kipindi cha Salama Mkasi..Huyu Mrembo Joketi alivyokuwa anabehave mbona sikuamini nilichokuwa nakiona?I thought ni Star anayejielewa,ana exposure but naishia kumuona Anacheka cheka tena ile ya kujikekesha unnecessary,mara anapayuka payuka yaani kujicompose as a lady ni 0 kabisa..hawa wanaojiita mastar kwa nini wasiwe wanapigwa msasa kabla hawajapaa nje kutuwakilisha kama Tanzania