Kumbe Mange Kimambi na Salama Jabir wana 'beef'?

Kumbe Mange Kimambi na Salama Jabir wana 'beef'?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,899
Reaction score
37,700
Mama yangu Salama hanipendiiiiiiiiiiiiii hhahhahaa, a few yrs ago niliachiaga A FEW comments about her, ndo beef hadi leo. Huwa ananidiss balaaa kuna mtu alimuuliza siku moja mbona hujamwalika Mange kipindini kwako akasema, Huyo Mange kafanya nini cha maana kwenye jamiii? hahahahahhaahhahaha..... Yani ukitaka kumuuzi mtajie Mange....

Not that ningeenda kwenye kipindi hata kama angenialika, I did one tv interview na Joyce Kiria its enough......


JAMANI NIMECHEKAAAAAAAAA.....
 
Mama yangu Salama hanipendiiiiiiiiiiiiii hhahhahaa, a few yrs ago niliachiaga A FEW comments about her, ndo beef hadi leo. Huwa ananidiss balaaa kuna mtu alimuuliza siku moja mbona hujamwalika Mange kipindini kwako akasema, Huyo Mange kafanya nini cha maana kwenye jamiii? hahahahahhaahhahaha..... Yani ukitaka kumuuzi mtajie Mange....

Not that ningeenda kwenye kipindi hata kama angenialika, I did one tv interview na Joyce Kiria its enough......


JAMANI NIMECHEKAAAAAAAAA.....

Mumuache mange wa watu!!! hata akiwa na beef na dunia nzima inakuhusu?!! we hapo tukikuchunguza utakuwa na beef mpaka na mumeo or mkeo....... lol umbea tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mumuache mange wa
watu!!! hata akiwa na beef na dunia nzima inakuhusu?!! we hapo
tukikuchunguza utakuwa na beef mpaka na mumeo or mkeo....... lol umbea
tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mmmh mbona mnashambulia mleta mada? hayo maneno ni yake mwenyewe mange mleta mada amekopy na kupest na kuleta hapa ambapo ni mahali pake hasa kwa mambo kama haya.
 
Sipendi itikadi za huyo mange kiufup hata akiwa na bifu na salama anatafuta umaarufu tu,salama ni mtu mwenye heshima na ethic ktk taaluma yake huwez kumfananisha na huyo mtafuta kik za lazima
 
Sipendi itikadi za huyo mange kiufup hata akiwa na bifu na salama anatafuta umaarufu tu,salama ni mtu mwenye heshima na ethic ktk taaluma yake huwez kumfananisha na huyo mtafuta kik za lazima

Sa hapo ametafuta umaarufu gani? Kasema 2 honestly kwamba hawapatani na Salama cause aliwahi achia comments za kumdiss Salama. Wewe sema tu humpendi Mange

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
huyo mange hua anasagwa so may b alimtoleaga nje kidume salama na ndo beef likaanza.
 
mmmh mbona mnashambulia mleta mada? hayo maneno ni yake mwenyewe mange mleta mada amekopy na kupest na kuleta hapa ambapo ni mahali pake hasa kwa mambo kama haya.

kaileta kimbea zaidi!!!
 
Sipendi itikadi za huyo mange kiufup hata akiwa na bifu na salama anatafuta umaarufu tu,salama ni mtu mwenye heshima na ethic ktk taaluma yake huwez kumfananisha na huyo mtafuta kik za lazima

we usimpende lkn wenzio twampenda miaka 8000000!!!!!!
Mtu na bahati yake ya pesa kupendwa na kila mtu sijui ww bahati yako yako ya mifupa ukitafunwa lazima utemwe!!!!!!!
 
Mama yangu Salama hanipendiiiiiiiiiiiiii hhahhahaa, a few yrs ago niliachiaga A FEW comments about her, ndo beef hadi leo. Huwa ananidiss balaaa kuna mtu alimuuliza siku moja mbona hujamwalika Mange kipindini kwako akasema, Huyo Mange kafanya nini cha maana kwenye jamiii? hahahahahhaahhahaha..... Yani ukitaka kumuuzi mtajie Mange....

Not that ningeenda kwenye kipindi hata kama angenialika, I did one tv interview na Joyce Kiria its enough......


JAMANI NIMECHEKAAAAAAAAA.....



Twajua ni kipindi chake lakini mbona kuna wengine waendao mle hawana mchango wowote katika jamii? Tuseme ni idadi kubwa ya watu waalikwao mle hawana mchango wowote katika jamaa kama hawa wa juzi (kina Shamimu). Ukienda kwenye site zao ni mambo ya kimarekani tu na mastaa uchwara wa kimarekani ambao hawana hata faida na Tanzania.
 
Back
Top Bottom