naomba mnijibu mnaofahamu,jamaa amewamwagia mshko hawa watangazaji?
Pasco_jr_ngumi JF-Expert Member Nov 20, 2010 1,802 279 Nov 24, 2010 #1 naomba mnijibu mnaofahamu,jamaa amewamwagia mshko hawa watangazaji?
JAYJAY JF-Expert Member Oct 31, 2008 6,380 5,673 Nov 24, 2010 #2 Hilo ni ngumu sana kujua ukweli wake. Hivi huyo jamaa bado anaendelea kuwafadhili original komedi?
Luno G JF-Expert Member Sep 22, 2012 2,544 1,835 Oct 6, 2013 #6 vicentii said: Sikweli bado ni mtangazaji wa clauz Click to expand... Soma post vizuri tazama mwaka ambao uzi ulianzishwa kabla ya kuchangia
vicentii said: Sikweli bado ni mtangazaji wa clauz Click to expand... Soma post vizuri tazama mwaka ambao uzi ulianzishwa kabla ya kuchangia
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,187 37,752 Oct 6, 2013 #7 Wamenunuliwa wakatangaze tv gani kwani Manji ana tv.?
idawa JF-Expert Member Jan 20, 2012 25,187 37,752 Oct 6, 2013 #8 Wamenunuliwa wakatangaze tv gani kwani Manji ABA ana tv.?
C.T.U JF-Expert Member Jun 1, 2011 5,050 3,640 Oct 6, 2013 #9 idawa said: Wamenunuliwa wakatangaze tv gani kwani Manji ABA ana tv.? Click to expand... kwa story za kwa mafundi viatu wa hapa mjini nilishawahi kusikia eti Manji kawekeza mkwanja mrefu sana clouds kama sio kuinunua... Ngoja kesho kwa job naenda kupeleka kiatu changu kupiga rangi tena nitadadisi vizuri
idawa said: Wamenunuliwa wakatangaze tv gani kwani Manji ABA ana tv.? Click to expand... kwa story za kwa mafundi viatu wa hapa mjini nilishawahi kusikia eti Manji kawekeza mkwanja mrefu sana clouds kama sio kuinunua... Ngoja kesho kwa job naenda kupeleka kiatu changu kupiga rangi tena nitadadisi vizuri