mi napenda sana hizi movies, kama nawe unapenda basi tushee pamoja zile kalikali.
nianze tu kidogokidogo
1. conan the barbarian. ni movie ya 2011. inamapigano ya ukweli, full maadventure na...
Wakati huo tulipokuwa tunasoma msingi miaka ile ya 80 kulikuw na michezo maarufu sana mashuleni na nje ya shule, nakumbuka kila shule ilikuwa na kikundi cha sarakasi ambacho kingeweza kwenda hata...
Kuna nyimbo mwenzenu nashindwa kuzisahau. Ni zile nyimbo tulivu zile enzi kabla ya vita ya Kagera na soda za Potelo? Em tukumbushane jamani...vijana wenzangu wa zile enzi za Simba Grill.
Mimi...
MSANII WA HIPHOP AMEZINGIRWA NA ROHO YA UMAUTI.
Mimi Vimvitae Lignumvitae, kutoka Taasisi ya Ungo Afrika, nikiwa katika maono yangu ya kiroho, nimeiona aura ya msanii Curtis...
BONGO MOVIE BADO SAAAAANA!
* Kuvaa uhusika sifuri.
* Kuvaa uhalisia sifuri kabisa.
Nimetoka kutazama movie ya kibongo, kwenye hiyo movie kuna scene jamaa anaenda kumuona...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiulizwa sababu ya kuamua kusambaza filamu zangu mwenyewe badala ya kuzipeleka kwa wasambazaji ambao nilikuwa nikifanya nao kazi kwa muda mrefu, yaani kampuni ya Steps...
Naomba kuwaambia watu wa Clouds #Ruge #Mpoto #Maganga #Fiestateam sisi watu wa Kusini Mtwara vs Lindi tunazijua Fursa na ndomana hatutaki Gesi itoke ili wawekezaji waifuate Mtwara kuja...
kwa yoyote aliyewahi kuiangaliaa hii tamthlia ya kikorea naomba unijulishe ntaipata vp? Coz nimehangaika kuisaka ili nii download nakutana na link ambazo zipo complicate sana .....hii tamthlia...
Kutokana na the komedy kupoteza mvuto ni bora kuangalia epiq bongo star search angalau unaweza angalia na watoto na ukacheka sababu ya waimbaj comedy. .masanja n ua team JIPANGE,
wasiomjua sir norman wisdom..huyu ni comedian wa enzi zile za miaka ya 1945 ni mcheshi zaidi ya charley chaplin ( mtazamo wangu)..ana movie kama UP IN THE WORLD, A STICH IN TIME na nyingine nyingi...
Habarini wakuu,hii tamthilia naifuatilia kwa karibu japo imeanza kuniboa kias flan,inaonyeshwa na star tv,kama kuna mtu anaweza nsaidia pakuipata full yote kwa sasa,au anieleze tu mwisho wa...
MSANII aliyewahi kutamba kisha kuporomoka kwa kasi katika tasnia ya filamu nchini Tanzania kwa sababu ya tabia zake chafu, Irene Uwoya, amefikishwa Kituo cha Polisi Msimbazi kwa wizi wa simu aina...
Hellow wana JF...
Denzel Washington ni moja wa Holly Wood Acters napenda saana.
Do your share my Like/Love of him?? If YES Picha zake zipi kwako
wazipenda? Scene gani? Quote gani...
Somewhere In Africa is a powerful film that resonates with Africans as it captures the heinous stories of how some African regimes have maltreated their citizens. It is a total deviation from the...