COKE STUDIO iko poa sana

COKE STUDIO iko poa sana

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,834
Hii kitu coke studio iko poa sana, jamaa wamejipanga na wanaweka vionjo vya aina yake lazima mtu uipende tu. Hivi inafanyikiwa nchi gani wakuu? Bongo inawakilishwa na Diamond, Lady Jaydee, Octopizzo na kikundi kimoja hivi cha sanaa
 
Kinaonyeshwa chanel gani,lini na saa ngapi niwe nakujoin
 
Kinaonyeshwa chanel gani,lini na saa ngapi niwe nakujoin
ITV, jumapili, mida ya saa tatu unusu usiku...kuna washiriki toka South africa, Kenya, Uganda, Nigeria, South Africa na nchi zingine kibao za Africa
 
Big up jideee

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Halafu ile live band yao baabkubwa, ile ya Tusker Project fame chamtoto aisee....
 
Hii kitu coke studio iko poa sana, jamaa wamejipanga na wanaweka vionjo vya aina yake lazima mtu uipende tu. Hivi inafanyikiwa nchi gani wakuu? Bongo inawakilishwa na Diamond, Lady Jaydee, Octopizzo na kikundi kimoja hivi cha sanaa

Octopizo ni msanii kutoka Kenya
 
I will join u kuangalia show tuwe tuna share ideas
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom