donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,132
Huyu dogo namkubali kwa kweli, licha ya udogo wa umri ila kimziki yuko vizuri sana na style ya uimbaji wake wa mahadhi ya zouk imetulia sana. Sijui ni kukosa promo, management au nini kinachomfanya dogo asivume kiivyo kwenye anga za mziki