Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

0 Reactions
14 Replies
5K Views
Kwafujo Djs ni kundi la madj lililotamba miaka ya nyuma na kuwa maarufu lakini siku hizi halisikiki tena. nini chanzo cha kutokusikika kwa kundi hili tena?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mwenye kujua ka link ambako naweza kudanlod nyimbo motomoto za kibongo hila video naomba tusaidiane wakuu.
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Nahitaji kudownload hii movie lakini kila nikijaribu kudownload kwa kutumia youtube downloader inakataa,nani anaweza kunipa link nzuri ambayo nitai download kwa kutumia youtube downloader au...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
wakuu mimi ni mwandishi wa scripts (movies scripts), naomba ushauri jinsi gani naweza kuwapata wahusika ili scripts zangu ziwezwe kuchezwa filamu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mmmmm mmmm I get wings to fly oh, oh, i'm alive Yeah when you call on me when i hear you breathe I get wings to fly I fell that i'm alive When you look at me I can touch the sky I know that i'm...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wale tuliosoma zamani tuliimba sana huu wimbo; Alaama za Chama Cha Mapinduzi, Jembe na Nyundo! Jembe ni kwa Wakulima na Nyundo ni kwa Wafanyakazi.... Ni tofauti na sasa watoto wetu...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu, mimi ni mpenzi sana wa aina za tamthilia tajwa hapo juu,,sababu hasa ni kuwa zinahusu historia za zamani za legends,heroes na events zilizotokea karne nyingi zilizopita,,,hivyo hata...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Seven Days and One Week " is a song by Italian-French trance music act B.B.E. . It was released in July 1996 as the lead single from their debut album, Games. As a representative of the...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Leo nimewaludisha nyuma katika historia ya muziki uko marekani na kukutana na kundi la s.w.v (sister with voice) kundi hili liliotetemesha kipindi iko lilikuwa likiundwa na wadada watatu,coco...
3 Reactions
21 Replies
6K Views
Hbaba jukwaa moja na jb mpiana hii shoo angekuaa kijana wetu wa bonde la tandale jukwaa moja na nguli kama huyu kwa upande wa mziki wake jukaa lingekoma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
watch/download new video from diamond ft iyanya-bumbum by clicking here
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Anyone ambae amewahi itazama hii series? so good kwa kweli
0 Reactions
3 Replies
789 Views
Ndg naomba mwenye nyimbo ya Nachechemea iliyoimwa na Hussein Jumbe pia na nyimbo ya huruma kwa wagonjwa ya DDC mliman park anisaidie au anielekeze namana ya kuzipata. Natanguliza shukran
0 Reactions
0 Replies
1K Views
msanii diamond aanika kilichokuwa chanzo cha bifu la yeye na BOB JUNIOR na namna chanzo hicho kilivyochangia kuharibu mahusiano yake na mrembo WEMA SEPETU click here/bofya hapa kwa full info.
0 Reactions
3 Replies
6K Views
habari senu jamani ninaomba nisaidiwe kama kuna mdau ana nyimbo hizi mbili anifanyie attacment please.............BABA JANE BYE BYE wa ALLY CHOKI na PAULINA wa ANDREW SEKEDIA pleaSE JAMANI...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
gang related yaan bonge la series mpaka nashdwa simulia itafuteni wakuu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Miraji Shakashia akikung'uta solo akiwa na Vijana Jazz mwaka 1993. Waimbaji hapa (kutoka kushoto) ni Jerry Nashon "Dudumizi", Mohamed Salum "Gotagota" na Abdallah Mgonahazeru. Pia yupo John...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Back
Top Bottom