Wakuu nimekuwa nikipita mara kwa mara mitaa ya posta mpya karibu na IFM,kuna casino imefunguliwa pale inaitwa princess,Ningependa kufahamu member yoyote mwenye uzoefu na pale anijuze juu ya huduma na gharama zinazotolewa pale?Na vp kama wahudumu wa pale wanasomeka,kwa maana ya huduma nzuri?