Kulikoni kwenye muziki aina ya taarabu

Kulikoni kwenye muziki aina ya taarabu

eyamango

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
463
Reaction score
371
Wanajamvi heshima kwenu.Naomba kujuzwa kwenye fani ya muziki hasa TAARABU kwa wamama/dada zetu.Mbona wengi wao wana maumbo makubwa makubwa,je ma-modal hawaruhusiwi?Kinackokera wengi wao kuwa na vifua vikubwa,vingine zaidi ya kilo 4.Hivi vifua ni vya asili au vya AMIRA za ki-china china?Majadiliano yatasaidia kuelimisha walio kwenye fani hii kuwa makini na madhara ya kiafya ya kuumuavifua na AMIRA za kichina. :hail:
 
Wanajamvi heshima kwenu.Naomba kujuzwa kwenye fani ya muziki hasa TAARABU kwa wamama/dada zetu.Mbona wengi wao wana maumbo makubwa makubwa,je ma-modal hawaruhusiwi?Kinackokera wengi wao kuwa na vifua vikubwa,vingine zaidi ya kilo 4.Hivi vifua ni vya asili au vya AMIRA za ki-china china?Majadiliano yatasaidia kuelimisha walio kwenye fani hii kuwa makini na madhara ya kiafya ya kuumuavifua na AMIRA za kichina. :hail:

Kangamoko wako Humu
Watajibu hilii wale ni wembambaaaaaaaaambaaa
Na taarabu wanacheza hatari
 
waimba taarabu huwa ni waislam wale wenyetamaduni za kiarabu huwa hawafanyi kazi zaidi ya kuimba na kumsubili mume alete ridhiki wengi wao wamenenepea ukubwani observe them they have flat buttocks, thin fore legs and fore arms i hate them
 
waimba taarabu huwa ni waislam wale wenyetamaduni za kiarabu huwa hawafanyi kazi zaidi ya kuimba na kumsubili mume alete ridhiki wengi wao wamenenepea ukubwani observe them they have flat buttocks, thin fore legs and fore arms i hate them

Waislam tena? Ngoja waje
 
Back
Top Bottom