Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa mimi clouds wamejitahidi na kuzima kosoro zote za vipindi vilivyo pita vp kwa upande wako?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndani ya hizo mix..kuna akina jah cure, presure,queen ifrica.....cc mankaM http://youtu.be/wE4ik0uHipA
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Itabidi turudi shule kujifunza kingereza upya,walisikika baadhi ya watu waliokua kwenye show ya fiesta. Hii ni baada ya umati mkubwa wa watu waliokuwepo kwenye show hiyo kuambulia patupu nyimbo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wanasema bongo flava ni kama Big G ukisikiliza miezi mitatu tu utamu kwisha, lakini naamini kwamba kuna bongo flava ambazo kiukweli haziishi hamu kusikiliza. Nia ya kuanzisha thread hii ni...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
THE INNOVATION HOUSE : MAHAKAMA YA KISUTU YAMZUIA DAVIDO KUFANYA ONYESHO FIESTA
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanaJF; Wapenda burudani wote nadhani mnafahamu kuhusu hili tamasha kubwa linaloendelea katika mikoa kadhaa ya Tanzania, linaloitwa Fiesta. Ukisikiliza matangazo ya Radio Clouds ambao ndio...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu Dar es Salaam imemzuia msanii kutoka Nigeria, Adedeji Adeleki (Davido) ku-perform katika tamasha la Fiesta linaloandaliwa na Clouds FM na Prime Production, October...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Soma zaidi kwenye hiyo picha, USISAHAU KUPITA HAPA https://www.facebook.com/MazishiYaCloudsFm?ref=hl
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni muda sasa niko hapa Arusha town sisikii wala sioni dalili za serengeti fiesta. Last time 2010yr ndio fiesta niliyoishuudia wakati huo fiesta ilimleta diamond na wengineo huku washabiki na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
wale wanaoenda kumuona T.I kesho kwenye Fiesta, kuna Terms and Conditions wameandika kwenye tiketi zao. Hivyo ni vema ukazijua kabla ya kwenda ili ikitokea bahati mbaya majanga usije...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Ingawa kuna msemo kuwa "anayejua anajua tu", ila kwa huyu Underground King toka Sinza napata wasiwasi kama atakuja kuandika line kali kama alizoandika katika wimbo wa Mchizi Wangu Remix. Line...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa aliyeangalia video ya wimbo wa nay wamitego uitwao Mr Nay. Naomba kujuzwa nini mahusiano ya kumfunga yule yule binti na mnyororo shingoni na ujumbe wa ule wimbo? na pili kuna mahusiano gani...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
The Yamoto Band live!! Vs The Skylight Band live!! - At Escape 1 Beach Club from 9.00PM Le Mutuz
3 Reactions
125 Replies
11K Views
..wadau wa hili JUKWAAA napenda kujua MATAMASHA makubwa ya MUZIKI AFRIKA MASHARIKI NA KATI na AFRIKA KWA UJUMLA.. karibuni wote
0 Reactions
0 Replies
1K Views
napenda mziki, na naufuatilia kiasi chake lakini bado sijaelewa hizi NA NA katika nyimbo zina maana gani. Rihann- What's My Name Trey Songz- Nana J Martins- Touchin Body Ianya- Kukere Brackets-...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello, everyone! Nice to meet you all and I am new here. This is our game Last Guardians and it is a action single game. This is a introduction about Last Guardians: The world is submitted by...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Film gani iliyo kukosha zaidi kati za Film za Aki na Ukwa wa Bongo Movies?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau naitafute torrent ya hiyo movie ya Denzel Washington (Mississippi Masala 1992) Kama kuna mtu mwenye clean copy anipe link please. Thanks
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Msaada mahali naweza download movies za wamarekani weusi
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom