Waandaji wa movie wamekamilisha na kutoa trailer ya Fast and Furious 7 ambayo itatoka April 3 2015 watch here https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=Skpu5HaVkOc#t=0
Ana ngoma inaitwa 'Umebadilika' amemshirikisha banana zoro, lakini jana nimesikia ngoma nyingine inaitwa '13' alowashirikisha fid q na belle9.
Kama kweli hii ngoma ni mpya, mbona interval baina...
Waungwa niko DRC kwenye jiji la Kinshasa nimefika hapa juzi,, kitu nataka kuwaambia tu kwamba Nasib Abdul aka Diamond anajulikana ,,, ikumbukwe tu kwamba Kinshasa ni tofauti na Goma ninako tokea...
Niko sehem nimepumzika nje ya nchi. Zinapigwa nyimbo kadhaa za Watanzania. Mara unapigwa wimbo wa Ray C mama ntilie. Wale jamaa alioimba nao kiukweli nawakubali sana lakini majina yao hajawahi...
TBC wametangaza Filamu Mpya baada ya Jin Tai Lang Kuisha. Filamu hiyo inaitwa kwa Kiswahili, Maisha ya Mama.
Katika Tangazo lao nimuemona Mama Shaomi, Mwalimu Hu, Bosi wake Mama Shaomi na...
Yule mjanja wa Dar es salaam,namzungumzia Alli Kiba usiku wa leo anafanya onyesho kubwa hapa Mtwara katika club ya Makonde Royal...daah shangwe zimeshaanza yaani hadi raha.Karibuni.
Kipindi cha maisha na hustle za Wema Sepetu 'In My Shoes' msimu wa pili kinaanza tena wiki ijayo, na kwenye interview niliyofanya naye Wema amesema haya mapya;
1] Maboresho mengi zaidi, mwanzo...
Kumbuka huko mkito haudownload wimbo hadi ulipie,so takwimu mpya zimetoka zinaonesha mwana ndo wimbo ulionunuliwa Mara nyingi zaidi
Na kwa show ya Jana nadhani mauzo yatakua juu zaidi
Ingia...
Hawa icon ya Bongo Fleva muda huu wako studio na tayari wameshaingiza sauti kwenye jisongi linakwenda kwa jina la Amsha amsha M4C tour 2014.
Hili dude kama umekunywa maji ya bendera ya CCM...
Standard Chartered Marathon winner Peter Kiprotich Kosgei with his wife Florence Cheruiyot and two year old daughter Abigael Chepchumba, pose for a photograph outside their grass thatched house...
"Wimbo mmoja kila wiki kwa wiki 10!" kupitia Mkito.com
Huu ni wimbo wa pili kutoka album mpya NEW DAY kutoka kwa Angel Benard - wimbo unaitwa SHUJAA.
SHUJAA.
Kuna wakati katika maisha...
Haya haya haya haya wale wote tunaomzimikia huyu kijana, tusioweza kula kunywa wala kulala bila kumuongelea huyu KICHWA wa bongo fleva njooni sasaaaa@miss strong, nifah, matola, geniveros diva...
DIAMOND ANA MAKOSA 3 MAKUBWA ALIYOTUTENDEA WATANZANIA MPAKA IKAMPELEKEA KUZOMEWA
1.Kosa la kwanza ni KUWA NA BIDII KWENYE MUZIKI WAKE.Hili ni kosa kubwa sana kwa Watanzania.Hakupaswa kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.