Best Nasso

Best Nasso

BRN

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2013
Posts
5,347
Reaction score
6,845
Kwa wanaofuatilia muziki wa Tanzania hili sio jina geni..mimi binafsi namkubali huyu jamaa kwani anamashairi na nyimbo za huzuni kama vile Narudi Kijijini.
 
bila kumsahau Nas B a.k.a Nas Bizness hawa jamaa wanajua..
 
Anajua kweli,ila awe mbunifu tu,he is stagnant.
 
sanaa ya bongo bila management inayoeleweka ni majanga
 
Tatizo lake hataki ushosti na watoto wa mjin kina ruge na kusaga ataendelea kua mfalme wa hukohuko musoma tu
 
yah nas b...nas maujanja namkubali sana yuko vizuri
 
Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni
 
Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni

da watu mna majungu...haha..ila jamaa anajua..
 
Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni

Sikubaliani nawe..muamgalie kwenye video yake mpya ya wimbo unaitwa Fahari.
 
Haaaaaaa Face Seller aka Muuza Sura jamaa anaweza sana ukicheki pini la Mamu wa dar yani vocal,melody yani ni shigda jamaa anaweza sana,ukija bora nirudi kijijini nayo ni kwere.
 
Last edited by a moderator:
Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni

Dah!! Mshikaji unaua mno.
 
Huyu jamaa namfahamu sana, nilimuona kipindi flani kanda ya ziwa.Lakini naona kama hajapata sapoti ya maana afu u-musoma nao anao mwingi
 
Kuna ngoma kaimba na mshkaji wake inaitwa Tuma. .bonge la ngoma. .labda bush face ndo inamuangusha maana jamaa amekaa kikanda ya ziwa sana usoni

Huo sasa ni ubaguzi wa waziwazi kanda ya ziwa wana nini usoni?
 
Back
Top Bottom