Tyta JF-Expert Member May 21, 2011 12,767 10,526 Nov 18, 2014 #3 mtu na pesa... kijana akipokea madingi wanamwita bwana,,dingi akizipata anaonekana ni kijana..... wapi ilipo taarabu...ilikuja kwa kishindo hata wagumu walishahusudu..kwa ajili ya marumbano mwishoni ikafa kibudu.. .
mtu na pesa... kijana akipokea madingi wanamwita bwana,,dingi akizipata anaonekana ni kijana..... wapi ilipo taarabu...ilikuja kwa kishindo hata wagumu walishahusudu..kwa ajili ya marumbano mwishoni ikafa kibudu.. .
Dr Matola PhD JF-Expert Member Oct 18, 2010 56,492 92,999 Nov 18, 2014 #6 Viol said: Wakuu nani unamkubali? Click to expand... Unafahamu kama Afande ni Mwanafunzi wa Sugu? Kwenye wakongwe wa hiphop bongo Sugu ni wakupimana ubavu na Profesa Jay tu.
Viol said: Wakuu nani unamkubali? Click to expand... Unafahamu kama Afande ni Mwanafunzi wa Sugu? Kwenye wakongwe wa hiphop bongo Sugu ni wakupimana ubavu na Profesa Jay tu.
Mtamile JF-Expert Member Aug 2, 2011 2,838 1,267 Nov 18, 2014 #7 Sijajua unataka tutumie vigezo gani kuwalinganisha ungekuwa umeweka vigezo kwanza ila unatakiwa tu uelewe Sugu ndio kamtoa Afande
Sijajua unataka tutumie vigezo gani kuwalinganisha ungekuwa umeweka vigezo kwanza ila unatakiwa tu uelewe Sugu ndio kamtoa Afande
msafwa93 JF-Expert Member Jul 2, 2011 4,761 5,877 Nov 19, 2014 #8 Matola said: Unafahamu kama Afande ni Mwanafunzi wa Sugu? Kwenye wakongwe wa hiphop bongo Sugu ni wakupimana ubavu na Profesa Jay tu. Click to expand... Mkuu kiuhalisia Sugu sio wa kupimwa ubavu na Prof.Jay,.' Ila kuna kpnd mwaka 2001 clouds baada ya kuznguana na sugu wakawa wanamtumia Jay kama mrthi wake hapo ndo watu mkanza kumpma jay kweny levo za sugu..
Matola said: Unafahamu kama Afande ni Mwanafunzi wa Sugu? Kwenye wakongwe wa hiphop bongo Sugu ni wakupimana ubavu na Profesa Jay tu. Click to expand... Mkuu kiuhalisia Sugu sio wa kupimwa ubavu na Prof.Jay,.' Ila kuna kpnd mwaka 2001 clouds baada ya kuznguana na sugu wakawa wanamtumia Jay kama mrthi wake hapo ndo watu mkanza kumpma jay kweny levo za sugu..