Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

hizi ni baadhi tu ya comment toka kwa viewers. halafu lawmaina78 yaonekana kijana wetu ana fun base kubwa sana kenya.ukitazama kwa umakini,comment nyingi ni za wakenya. CC Geza...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hellow wana jf alie na wimbo wa Ukivumilia mbele kweupe wa 20% naomba aniattachie hapa.Ntashukuru sana maana huo wimbo niusikiliza kwa mbali na nahitaji niusikilize kwa karibu sana.
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Wakuu nitapata wapi link ya free download ya nyimbo za kwaya ya barabara ya 13 Bulyanhulu.Zipo baadhi zinapatikana tubidy.com lakini zina quality ndogo na nyingine ziko vipande,hazijakamilika...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wengi wanahusisha Rap kwamba ni miziki ya Kihuni inayo-glorify violence na uhuni.., lakini ni ukweli usiopingika kwamba Raps ukisikiliza zina ujumbe pia na nyingine zinatoa nasaha safi kabisa kwa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kwa habari nilizozipata ni kuwa the lion king, Mr. Never give up, babuu, anajiandaa kulipua makitu baada ya kuwaachia wabana pua akitaka kuona uwezo wa wabwataji! You get to love this legendary...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Naomba mwenye mp3 ya Wimbo wa Dr Slaa Anaweza (ulitumika kwenye kampeini za CHADEMA 2010) anitumie. Nauhitaji saana
0 Reactions
1 Replies
732 Views
Baada ya kuvaa kijeshi, iliandikwa kuwa alipata kasheshe kidogo.....
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Hii nimerefer kwa wasanii wengi wakubwa wa hiphop Marekani, wengi wao kama hawajafungwa kwa kesi za umiliki wa silaha kinyume cha sheria basi watakuwa wamehusika kwenye vurugu zilizohusisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello, everyone! Nice to meet you all. These are our free android games: Last Guardians: it is a action single game. The world in Last Guardians is submitted by dark forces, leaving only last...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram kaweka hii Chorus bila shaka inaweza kuwa na ujumbe flani hasa hasa kutokana na minong'ono ya kuvunjika kwa ndoa yake
2 Reactions
57 Replies
6K Views
Waandaji wa movie wamekamilisha na kutoa trailer ya Fast and Furious 7 ambayo itatoka April 3 2015 watch here https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=Skpu5HaVkOc#t=0
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ana ngoma inaitwa 'Umebadilika' amemshirikisha banana zoro, lakini jana nimesikia ngoma nyingine inaitwa '13' alowashirikisha fid q na belle9. Kama kweli hii ngoma ni mpya, mbona interval baina...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mliovaa mlifaidi sana, na afro zenu kichwani. Watoto mtacheka na kuita kistool, ila hamjui raha yake.....
0 Reactions
2 Replies
976 Views
Waungwa niko DRC kwenye jiji la Kinshasa nimefika hapa juzi,, kitu nataka kuwaambia tu kwamba Nasib Abdul aka Diamond anajulikana ,,, ikumbukwe tu kwamba Kinshasa ni tofauti na Goma ninako tokea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ilitokea wakati wateja walio lipa elf kumi kiingilio na kutomwona Christian Bella ukumbini. Wateja wacharuka na kuwapiga wakongo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Niko sehem nimepumzika nje ya nchi. Zinapigwa nyimbo kadhaa za Watanzania. Mara unapigwa wimbo wa Ray C mama ntilie. Wale jamaa alioimba nao kiukweli nawakubali sana lakini majina yao hajawahi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
TBC wametangaza Filamu Mpya baada ya Jin Tai Lang Kuisha. Filamu hiyo inaitwa kwa Kiswahili, Maisha ya Mama. Katika Tangazo lao nimuemona Mama Shaomi, Mwalimu Hu, Bosi wake Mama Shaomi na...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
UNAAMBIWA DAVIDO ALIVUTA SHILINGI MILIONI 65 KWENYE SHOO YA FIESTA | Udaku Magazine
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Yule mjanja wa Dar es salaam,namzungumzia Alli Kiba usiku wa leo anafanya onyesho kubwa hapa Mtwara katika club ya Makonde Royal...daah shangwe zimeshaanza yaani hadi raha.Karibuni.
2 Reactions
89 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…