Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 21,010
huyu dogo anajua sana kuimba. leo nimesikiliza wimbo alioshirikishwa na niki wa pili unaitwa hatuendani nimmemkubali sana. ana nyimbo kali nyingi sana kama ladha ya penzi, masogange, wanitaka na listen. sijui kwanini hajawahi pata tuzo za kili? au amewahi?