BBA: Vote for Idris

BBA: Vote for Idris

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,839
Reaction score
3,125
Mpigie kura mshiriki pekee wa Tanzania Idris na kuleta ushindi nyumbani. Tuma Idris kwenda 15426, gharama yake ni Tsh 600. Hii ni kwa wateja wa Tigo tu. Kuwa mzalendo.
 
Why waste money for evil and immorality
 
Hivi kule BBA wanashindanisha nn, nani anaifafanulie kwa maneno machache
 
Mpigiekura mshiriki pekee wa tanzania idris na kuleta ushindi nyumbani
tuma idris kwenda 15426 gharama yake ni tsh 600
hii ni kwa wateja wa tigo tu
kua mzalendo
Tuambie kwanza wamebaki wangapi!?
 
Hashindi yule dogo....tayo anakimbiza mbaya till nw

Naomba Mungu asishinde kwa kweli, maana ma haters apa tumbo joto, eeh mimi nae inabidi nifanyiwe maombi, nitakuwa mchawi sio bure, maana kila mtu simpendi
 
siwezi kuchangia anasa nionekane mzalendo

Ndoto yangu ni kumuona idris anatoka mjengoni, maana tutapumulia mipira, alichotufanyia ndomo uko south na tuzo tatu inatosha kwa kweli, maana sie wachawi tukiona mafanikio ya mtu, hatuna raha kabisa
 
Uzalendo umekosa wazalendo wa kutuelekeza uzalendo pelekeni kwenye escrow lkn c bba
 
Kwenye mambo ya ujinga Tz ndio tunaongoza..... Khaaaaah aibuuuuu
 
Back
Top Bottom