Kwa wapenzi wa muziki wa reggae

Kwa wapenzi wa muziki wa reggae

Dragoon

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2013
Posts
7,012
Reaction score
8,150
Wakuu bila shaka naufahamu wimbo USIZI uliopigwa na The Slaves. wengi wanadhani wimbo huu uliimbwa na Lucky Dube, lakini ukweli ni kwamba aliyeimba ni Thetukani Cele. Luky Dube alikuwa member tu wa hiyo bendi. Kuna rafiki aliniambia wimbo unasema kwamba watoto wanalala njaa sababu baba na mama wamefukuzwa kazi. Kama kuna mwana JF ana lyrics wa huu wimbo au tafsiri yake apost humu ndani. maana kwenye google sijapata chochote. Pia anayejua maana ya wimbo Papa Bakoye wa Alpha Blondy amwage hapa maana yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom