Ally Kiba, Diamond &co leaders club tar,24

Ally Kiba, Diamond &co leaders club tar,24

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,038
Reaction score
13,467
Tigo wamezindua tamasha la kiboko yao litakalofanyika tar 24 Mwezi huu pale Leaders club.


Diamond, ally kiba,Fa,Fid Q na wengineo watakuwa hapo.


Mliopo huko nendeni,mtakaoenda kuzomea au kuburudika kazi kwenu.



Kiingilio ni laki moja ila mmelipiwa tayari na TIGO.

DC

Namtumbo, Ruvuma,Tanganyika.
 
Tigo wamezindua tamasha la kiboko yao litakalofanyika tar 24 mwezi huu pale leaders club.


Diamond, ally kiba,Fa,Fid Q na wengineo watakuwa hapo.


mliopo huko nendeni,mtakaoenda kuzomea au kuburudikA kazi kwenu.



kiingilio ni laki moja ila mmelipiwa tayari na TIGO.

DC

Namtumbo, Ruvuma,Tanganyika
 
dah enzi zangu nshaenda kitamboo maana hapo leaeders na kwetu unakatisha tuu
 
wale wazee wa kupiga buuu Washajua kutofautisha Z na 2
 
Aisee,vipi litaoneshwa live kama fiesta?Sio wote tunaoweza kwenda kulikoga vumbi la leaders.
 
Back
Top Bottom