Piipii ya Marlaw !

Piipii ya Marlaw !

Chozy

Senior Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
172
Reaction score
47
Jamani wacheni utani, nimekatiza mitaa fulani hivi hapa Kimara, nikausikia wimbo wa malaw "pipii" ikabidi nisimame niusikilize nikajikuta napagawa nafuatisha ile mistari dah! Namkubali kichizi

Yuko wapi huyu jamaa lakini na mpango wake katika game he!?
 
Marlaw, makosa ya kiuandishi naamini umenisoma mkuu twende kwenye mada

Kawaida mkuu, kwa bahati mbaya sikuwahi kuupenda huo wimbo na cjui ni kwanini, actually am interested with Bongo fleva, ukiachilia mbali wasanii km Afande Sele, Jaymoe na Prof Jay
 
Kawaida mkuu, kwa bahati mbaya sikuwahi kuupata huo wimbo na cjui ni kwanini, actually am interested with Bongo fleva, ukiachilia mbali wasanii km Afande Sele, Jaymoe na Prof Jay

Asante mkuu nimekupata
 
Jamani wacheni utani, nimekatiza mitaa fulani hivi hapa Kimara, nikausikia wimbo wa malaw "pipii" ikabidi nisimame niusikilize nikajikuta napagawa nafuatisha ile mistari dah! Namkubali kichizi

Yuko wapi huyu jamaa lakini na mpango wake katika game he!?


JaMAa aMeisHaaa si AlijIfAnya mJanjA kuwAfanyiA mAgaMba kAmpeNi kipindi Ile yA haNdsOmE boy aKigOmbEa.
SaiV ni sHiDAaaaqqqq!
 
(JaMAa aMeisHaaa si AlijIfAnya mJanjA kuwAfanyiA mAgaMba kAmpeNi kipindi Ile yA haNdsOmE boy aKigOmbEa.
SaiV ni sHiDAaaaqqqq!...)
Tunatumia nguvu nyingi kusoma, sijui ni kifaa alichutumia kuandikia au tu ujeuri....siku hizi nachagua kusoma,nikiona tu fulani kaandika....naacha!
 
(JaMAa aMeisHaaa si AlijIfAnya mJanjA kuwAfanyiA mAgaMba kAmpeNi kipindi Ile yA haNdsOmE boy aKigOmbEa.
SaiV ni sHiDAaaaqqqq!...)
Tunatumia nguvu nyingi kusoma, sijui ni kifaa alichutumia kuandikia au tu ujeuri....siku hizi nachagua kusoma,nikiona tu fulani kaandika....naacha!

Huyu dogo mi huwa simuelewi, sujui ni mlemavu wa mikono au ubongo!
 
Back
Top Bottom