Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

hiki kitabu cha hekaya za allan gwantaman nilikisoma miaka ya nyuma,nakitafuta nikisome tena.mwenye kuweza kijua nitakipata wapi anisaidie wadau
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Ilikuwa Majira ya saa nane alfajiri wakati nilipopigiwa simu na mkuu wangu wa kazi inspekta Haruni Majimoto,ndo Kwanza Usingizi Ulikuwa Umeanza Kunoga wakati mke wangu aliponiamsha,Japhet,Japhet...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wana jamvi. Natafuta nyimbo za mwanamziki Caz T aka mwana wa komba. Ki ukweli nimezimiss sana hizo nyimbo. Yeyote mwenye taarifa mahali zinapatikana tafadhari anisaidie. Naomba ukijibu...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
mwenye nyimbo hiyo naomba anitumie au anipe link niipate version niliyonayo haiishi hadi mwisho msaada wakuu
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Kiukweli vijana wetu wameishiwa ubunifu kiasi cha kutia mashaka makubwa sana.Elimu yetu imetujenga kutokuwa wabunifu.Ni masikitiko makubwa kabisa kuona mitoto hii inaiga kila kitu toka west...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Kabla ya ujio wa hawa jamaa, ilikuwa kila mwenye uwezo na kipaji lazima atasikika na kutusua. Yaani msanii akiwa na uwezo lazima atapenya tu, Redio zote zilikuwa zikitenda haki. Sasa ujio wa hawa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni hivi Clouds fm ni redio nzuri tu na mimi naisikiliza sana na Lady Jay dee ni mwanamuziki mzuri na anafanya muziki mzuri tu kwa hiyo natamani sana nisikie muziki wa Lady Jay dee katika Clouds...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kijana anaushawishi mkubwa sana, Mimi nadhani ifike muda tumtumie kuvuta wapiga kura au mnaonaje wadau. #MstahikiMeya
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ifuatayo Ni Blog Ya DIAMONDA PLATNUMZ. wasafi.blogspot.com
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aina hii ya filamu zinaonyweshwa ndani ya ukumbi maalumu wa sinema, ambapo watazamaji wanakaa kwenye viti vinavyotikisika kutegemea mlio wa kitu kinachoonekana kwenye screen,mfano mlio wa risasi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mapanki...tunakuja February 7, 2015. Usishangae kwa nini tamthilia itakuwa na urefu wa kama dakika 10 tu hivi. Kwa nini tumeamua tamthilia ya Mapanki iwe na urefu wa dakika 10 badala ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Sina uhakika lakini haya ni baadhi ya maneno Wazazi, wazazi nakonda na................... Mnanilazimisha kuolewa na mimi bado ni mdogo... miaka kumi na.............. Chorus Samahani, samahani...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sitanii huyu mdada ananikuna mno kwa umahiri wake katika muziki (sio fleva). Ni muda mrefu sasa sijamsikia na bahati mbaya si kipenzi cha waandishi wa habari za burudani hivo hasikiki kabisa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
BADO HAUJATOKA OFFICIAL ILA HUMU KAWASHIRIKISHA KINA ROGAROGA,LOFOMBO,SAMITSHITU,MA NDACHANT. KIBAO KIMEREKODIWA NAIROBI AMBAKO NDIKO ALIKOFANYA MAKAZI YAKE KWA SASA.. KULA VITU
1 Reactions
2 Replies
968 Views
Guys i need ur help natafuta link ambayo unaweza kuangalia latest movies online tu na sio kudowload ya kwenye simu kutoa youtube coz inaonyesha za mda pls kama mtu anajua bas accoment hapa au ani...
0 Reactions
0 Replies
612 Views
PopStar2015:New match-3 puzzle game launch now! How to play: 1: Tap 2 or more adjacent blocks in the same color to clear them. 2: In levels you can use booster tools to help you to clear the...
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Wanajamvi niaje.Naomba kujua hivi wimbo wa Rich mavoko pacha wangu una maana gani.Asanteni
0 Reactions
11 Replies
8K Views
MAPANKI, tamthilia ya kipekee inakujia hivi karibuni. Pata preview hapa : http://www.youtube.com/watch?v=Ysv6fSIhKqA Kwa habari zaidi: www. mapanki.com
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…