Kweli Hiphop haiuzi

Kweli Hiphop haiuzi

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,669
Currently niko Bukoba, jana pasaka kulikuwa na mashindano ya kushake na kuimba maeneo ya beach, msanii Songa wa Tamaduni Music na M-Rap walikuwa na show kwenye Club moja maarufu huku, wakaja kutumia hilo jukwaa kuwavuta watu usiku waje kushuhudia show yao maana kulikuwa na nyomi ya maana, MC kwa mbwembwe akawaita jukwaani wajitambulishe hawa wasanii 'wa dar' akidhani watu watashoboka, cha ajabu wamepanda watu kimyaaa, wanajitambulisha watu kimyaa, MC ikabidi aseme wangapi wanamjua Songa mikono juu ikaonekana kama mikono 7 (ukijumlisha na wangu). Dah nikasema kweli ukitaka ufanye hiphop ya kweli unachallenge kubwa maana ni raia wachache sana wanaokusoma, kama unataka kufanya biashara ya muziki ni bora ufate nyayo za kina Neema Wa Mitego tu
 
Sasa Wahaya na Hip Hop wapi na wapi mkuu? Hapo ungewaambia kuchangaya Lugha 3 kwa wakat m1 wakiongea wangeonyesha vidole wote.
 
Ungempeleka maua alieimba chenkura akatambala wote wangenyoosha mikono
 
Tamaduni muzik hawawezi kukusanya watu 5000 popote pale hapa Tanganyika.

kama wanataka hela waache kujifanya wanakaza sana, angepanda mtu kama stamina pale raia wangeamka wenyewe wala kusingekuwa na haja ya kujitambulisha
 
Tamaduni muzik hawawezi kukusanya watu 5000 popote pale hapa Tanganyika.

Watu elf.5000 umewapendelea... kama pale kilingeni kwao Msasani Club hawafikishagi hata watu 200, hiyo nyomi elf.5000 wataiokota wapi tz hii?

Harakati bila vyombo vya habari hasa Radio na TV ni sawa na kazi bure. Utaishia kusanda.
 
Watu elf.5000 umewapendelea... kama pale kilingeni kwao Msasani Club hawafikishagi hata watu 200, hiyo nyomi elf.5000 wataiokota wapi tz hii?

Harakati bila vyombo vya habari hasa Radio na TV ni sawa na kazi bure. Utaishia kusanda.

Nash MC anajifanyaga ana msimamo facebook halafu mwisho wa siku anatutext kuomba tununue CD zake, hela wanazitaka ila usela mavi ndo unawaponza
 
kisa nini hadi akafikia hatua ya kusema hvo?

Fid alisema kuwa hajawahi kusikiliza nyimbo za Nash , wala hamjui .
So Nash akahisi kama jamaa kamdharau hivi.

Sasa sijui alitaka Fid FidQ amsifie tu, hata kama hajamsililiza.
 
Fid alisema kuwa hajawahi kusikiliza nyimbo za Nash , wala hamjui .
So Nash akahisi kama jamaa kamdharau hivi.

Sasa sijui alitaka Fid FidQ amsifie tu, hata kama hajamsililiza.

dah hata mi ningemind, sio fresh kabisa alivyofanya Fid, haiwezekani awe na ukaribu na baadhi ya memba wa tamadun halafu asimjue Nash.
 
mkuu vipi yule jamaa wa kilokoloko alishinda? na yuke jamaa anajiita sule b vipi? maana sukuwepo siku ya Jana nipo mwanza kidogo..!! daah nilimis vipi totoz zilikua zakumwaga pia?????
 
dah hata mi ningemind, sio fresh kabisa alivyofanya Fid, haiwezekani awe na ukaribu na baadhi ya memba wa tamadun halafu asimjue Nash.

Kwani ni lazima kumjua mtu kama unawafahamu rafiki zake?
Nadhani Fid hakutaka kuwa mnafiki aseme anamjua wakati hamjui.
 
Kwani ni lazima kumjua mtu kama unawafahamu rafiki zake?
Nadhani Fid hakutaka kuwa mnafiki aseme anamjua wakati hamjui.

haha anaenda kilingeni halafu asimjue Nash wakati ndo anakuwaga mc wa shughuli inawezekana hiyo?
 
mkuu vipi yule jamaa wa kilokoloko alishinda? na yuke jamaa anajiita sule b vipi? maana sukuwepo siku ya Jana nipo mwanza kidogo..!! daah nilimis vipi totoz zilikua zakumwaga pia?????

haha yaan jana naingia beach ndo namkuta anaperform kilokoloko, alipata shangwe ya kutosha, walisema fainali leo ndo mshindi atajulikana, sijaenda so sijui nani kashinda, natunza energy kwenda kuwashangaa madogo wa Yamoto Band pale Linnaz. Totoz kama kawa zilikuwa za kumwaga
 
haha yaan jana naingia beach ndo namkuta anaperform kilokoloko, alipata shangwe ya kutosha, walisema fainali leo ndo mshindi atajulikana, sijaenda so sijui nani kashinda, natunza energy kwenda kuwashangaa madogo wa Yamoto Band pale Linnaz. Totoz kama kawa zilikuwa za kumwaga

haahah..poa poa linas ni kesho mkuu? kama kesho nitahudhuria kuwacheki yamoto band. !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom