mr brocken
Senior Member
- Apr 2, 2015
- 166
- 48
mimi ni mmoja kati ya mashabiki wa Afande selle, huwa nakunwa sana na mashahiri ya huyu jamaa ktk tungo zake, pia leo nimemkumbuka kwa vile kuna jamaa yangu kanisimulia story moja inayofanana na kati ya wimbo mmoja wa Afande selle, ni ile story ya kukataliwa na mama yake Mzazi pasipo na sababu. sasa napenda kujua ivi ile story ya Afande selle ilikuwa ni ya kweli! na kama ya kweli iliisha wapi? na huyo mama ameendelea kukomaa mpaka leo,?
kumbe c wamama wote ni wazuri kwetu eh!
kumbe c wamama wote ni wazuri kwetu eh!