Nilikuta zimepostiwa kwenye thread moja ikabidi nitafute hizi series nikazidownload walaaah ni nzur kish**nz
nazo ni The 100 ambayo imeishia season 2 na the last ship nayo imeishia season 2 kama...
Habari zenu wana JF..
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24.
Nimezaliwa ktk familia ya kipato cha chini(maskini), elimu yangu ni O_level kidato cha nne.Nimezaliwa ktk wilaya ya Kibondo...
jamani wadau nimeambia na watu wengi wa karibu ikiwemo ndugu zangu nifanye mashindano ya umiss
sasa najua kuna kuanzia level za vitongoji na mambo mengine hapo katikati
nina vigezo vingi so...
Haya fuatilieni mahojiano juu ya tamaisha hili la leo mjionee na kusikia kama maandalizi yanaendana na thamani ya tiketi zenu au ni ujanja ujanja wa mjini wa waandaji?ni live clouds tv/radio...
Zari/Diamond White Party imetangazwa kwa muda mrefu sana na ndiyo hiyo
imeshatimia inafanyika usiku wa leo 1/5/2015.Kiingilio ni mamilioni, malaki
na maelfu na kuna watu wanahaha kutafuta tiketi...
R&B and soul singer Ben E King, best known for the classic song Stand By Me, has died at the age of 76.
King started his career in the late 1950s with The Drifters, singing hits including There...
Licha ya kua ni mwanamziki anaefanya poa sana kwenye tasnia hii ya muziki wa bongo flavor hasa kwa upande wa R&B, kias cha kubeba tuzo kadhaa za mwanamuziki bora wa R&B pia hata wimbo bora wa R&B...
Kwenye link hapo chini nimeweka wimbo wa Mrisho Mpoto uitwao "Waitwe"
Nimeusikiliza mara mbili tatu ila sielewi maana hata kidogo. Ni nani hao anataka waitwe na kwa sababu gani?
Huyu Mjomba kwa...
Watangazaji wa Clouds FM kupitia kipindi cha Powerbreakfast Gerald Hando pamoja na Hudson Kamoga wa Clouds TV kupitia kipindi cha Clouds 360 wakifanya mahojiano na Msanii mahiri wa muziki wa...
Diamond, Zari and Diamond's management are in Zanzibar as the singer is set to perform tonight at Ngome kongwe. Here are some pics...............
with Zanzibar's famous designer Doreen...
Majina ya walioingia kwenye tuzo mwaka huu. Kura zitaanza kupigwa May 5.
MTUMBUIZAJI BORA WA MUZIKI WA MWAKA- KIUME
1. Mzee Yusuf
2. Christian Bella
3. Diamond Platnumz
4. Ally Kiba...
zari all white party ni show ambayo inahudhuriwa na baadhi ya mastar wakiwamo 1.Godfather 2.Top ten ya washindi wa big brother africa,na wengine wengi kibao,je kwa...
Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini...
Pamoja na wadau wengine wote naomba mnisaidie kuchambua maana halisi au nini ilikuwa nia ya mtunzi mahiri wa nyimbo za taarab nchini Mzee Yusuph katika wimbo wake mpya usemao " Ikisimama panda "...